Gardner amkana jaydee kweupe

ericford

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
265
Reaction score
68
Hii imetokea jana katika tamasha maalum la kituo kipya cha kazi cha Gardner E.FM ambapo Gardner alipanda jukwaani kujitambulisha mashabiki waliokuwepo wakamuuliza shemeji Jaydee yuko wapi? Akawajibu i am single boy now kisha akaomba awekewe nyimbo ya Single boy ya Ali Kiba na kuicheza jukwaani huku akimpandisha jukwaani shabiki wa kike na kumwambia amvue tishet yake kimahaba kuthibitisha usingo boy wake ambapo demu huyo alimvua kwa staili hiyo gardner huku ukumbi ukilipuka kwa shangwe.
 
Alikuwa anaogopa nini kusema hivo tangu mwanzo?Bado sawa hatimaye wamekubali matokeo.
 
Hayo nayo makubwa, baada yakuvuliwa tishet ataomba avuliwe na trouser afu atajikuta anavuliwa utu wake na mtu tusiyemjua
 
Kwa hiyo katangaza jimbo liko wazi??
Mwanamke mwingine ruksa kumuoa???
 
Reactions: ilu
kuishi na gadna kazi sana ye ndo anashida ktk mahusiano maana km wangekuwa wanawake mkewe wa kwanza asingeolewa tena na km aingekua wanawake ndo shida bas EDA angeachwa tena ndoa yenyewe ya kiislamu
 
kuishi na gadna kazi sana ye ndo anashida ktk mahusiano maana km wangekuwa wanawake mkewe wa kwanza asingeolewa tena na km aingekua wanawake ndo shida bas EDA angeachwa tena ndoa yenyewe ya kiislamu

Jamani kumvumilia mwanaume anayechepuka daily tena bila aibu inahitaji moyo sana...hata hivyo jide kavumilia sana kiukweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…