TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

RIP, brother
 
RIP
 
Hawa ni mavichwa panzi wakinywa bia mbili wanazima ndio manake wanadharau pombe mzee wangu ana miaka 87 ananyonya Konyagi mwitu ambayo mi siezi
Ni kikundi Fulani tu chenye wivu na starehe za watu
Dili nyingi michongo ya maana ya watu wenye akili inapatikana bar ,binafsi nilipata dili la kunitoa Tz nikiwa bar nakula safari baridi , wanywa vyoda lazima wawe na hasira wao soda moja tu ,tumbo limejaa🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…