Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SBL na TBL ziepoteza watu muhimu sana wa kutangaza ulabu hii mijamaa ilijuwa kutangaza bear kwa mbwembwe ,angalizo tunywe bear 2 kwa kila siku kwa masaa mawili au toti moja tu kwa siku ikibidi ichanganywe na limao na barafuBinafsi Mimi nilikua mpenzi sana wakusikiliza JAHAZI hasa segment ya Mastory ya town kipindi kibonde akiwepo, kibonde alipofariki ndio nikaacha kabisa, Sasa Gardner nae kaenda, kile kipindi kina PENGO KUBWAView attachment 2968957
Hovyo sana hii hali, tunatengeneza taifa la mateja wenye elimu zao.Mtu anakunywa Kvant na energy
Nasikia warusi ni wanywaji sana wa pombe hasa vodka vp na wao matatizo ya figo, ini ni kama kwetu?Duh pombe inaonewa leo wanywaji kazi tunayo
ova
Nasikia warusi ni wanywaji sana wa pombe hasa vodka vp na wao matatizo ya figo, ini ni kama kwetu?Duh pombe inaonewa leo wanywaji kazi tunayo
ova
Kweli... Labda na hali ya hewa nayo inachangia... pombe inayofaa kwangu kwa dar ni bia tuNasikia warusi ni wanywaji sana wa pombe hasa vodka vp na wao matatizo ya figo, ini ni kama kwetu?
mzee ramadhan ni mtaalam wa nyota biashara mali bira kafara mausiano cheo nk 0682022727. WAtoto wa mjini hao
View attachment 3000177
Akili timamu ikiwa katka ubora wake wa juu kabisa
Rip Captain...
Hiyo insatakiwa kabla mtu hajafa, utaipata wapi amani baada ya kufa? Ulisikia kuna vita huko?Rip Captain...
Sijui utaacha lini ukorofi!Hiyo insatakiwa kabla mtu hajafa, utaipata wapi amani baada ya kufa? Ulisikia kuna vita huko?
Hivi nyinyi mbona mnafikiri kinyumenyume? Au mndiyo mshazoweshwa kinyume nyume?
Wajinga ndiyo waliwao.