Gardner Habash: Natumia laki 1 kwa siku

[/QUOTE]
Huyo Ruge mwenyewe hafikishi mil 2[/QUOTE]

Ruge hiyo ni pesa anatengeneza kwa siku tu.. Ukizungumzia clouds Ukizungumzia roho yao ambayo ni Ruge kumbuka ilo.
 
Watu hatuwezi kufanana. Everyone is a unique being. Lakini nafikiri kuna tatizo iko mahali kwa homeboy wangu. Hana checks and balances! Am not judging him though....maana kila mtu ana haki ya kuishi vyovyote atakavyo na kusema/kufanya chochote atakacho bila kuingiliwa na mtu yeyote ili mradi tu havunji sheria.
 
hakuna mtu ana wivu na pesa zake, wala hujui mm natumia ngapi kwa siku, ila kwanini anapenda kujisifu ujinga, kusema kamkojoza mtu hadharani ni jambo zuri kwa mtanganzaji kama yeye, pia kujisifu matumizi mbele za jamii ni jambo jema, sijasikia akijisifu kalisha masikini wangapi wala kachangia jamii kiasi gani..
 
Halafu eti jana alikuwa anamsifia Malaika eti oohh umependezaaa. Hivi hajui kama yule ni mke wa mtu?
 
Sawa TE="kabanga, post: 16188295, member: 63346"]Sawa kabisa[/QUOTE]
Sawa nini sasa?
 
Nani alimuuliza hilo swali? Au anko mkojozaji anatafuta kick kwamba hakuwa malioo wa aliyekojozwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…