Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
- Thread starter
-
- #61
Gardner anabet?Mbona hela ndogo sana hiyo. waulizeni wazee wa kubet wanaliwa sh ngapi kwa siku na bado wanaendelea kubet kila siku.
Halafu eti Gardner ndiyo atumie laki kwa siku.hata bakhlesa anaogopa kutumia laki kwa siku...kusaga mwenyewe hatumii hiyo hela...
Umeona eeh. Eti mtangazaji wa radio anatumia laki kwa siku. Kwa asset gani alizonazo?jaman tuache kujikweza, laki kwa siku ni kubwa acheni masihara......inamaana mshahara wa 3m kwa mwezi tena hiyo ni take home huna serving yoyote unayofanya zaidi ya matumizi ya kawaida??? seriously???....sasa kibanda chako utajenga lini?? maana hapo hana familia anatumia laki ukiwa na familia ya watoto 2 mpaka 3, wife, house girl si ndo atatumia laki 3 kwa siku??
Habari Mkuu,nilikupm namba zangu. Sijui hazijakufikia. (Samahani kwa kuingilia mada kwa mambo binafsi)Demu ndio nini/nani? Unaandika as if wote tuna rika moja humu!
Hivi nyie mna tatizo gani hampendi kusikia habari nzuri ya Gadna?
Huyo sura ngumu si alisema yeye ndio anamtunza sasa anaishi maisha yake bado inawaumiza.. Gadna tuko nae batani daily ingekuwa bado yupo kwenye ndoa mngesema za yule uso mgumu ila sasa mnalialia tu.
Mtangazaji wa kipindi cha Jahazi, ambaye hivi karibuni amemkojoza yule moto wa kike,amejitapa kuwa matumizi yake kwa siku ni shilingi 100,000 wakati akimfanyia interview msanii wa Bongo Flavour Malaika.
My opinion: Laki 1 inaweza kuwa kubwa au kuwa ndogo kutegemeana na kipato chako. Lakini kwa kipato cha mtangazaji wa radio, inaleta ukakasi kidogo. Ama ni hivyo basi utangazaji unalipa sana siku hizi. Matumizi ya 3,000,000 kwa mwezi si jambo dogo ati.
Siyo mfano. Alisema uhalisia. Tena alisema ikitokea hana yupo tayari kupiga mzinga kwa washkaji zake. Na pale alikuwa ameshatoka kupiga mzinga kwa mtu na kamtumia laki 1 lakini akawa abashindwa kuitoa Airtel money.Duh watu mna manenoo, jana nilisikiliza Jahazi, hiyo laki alisema kama mfano tu, sio kwamba ndio matumizi yake kwa siku ..........................................
Demu ndio nini/nani? Unaandika as if wote tuna rika moja humu!
Habari!Unatafuta nini humu....
Nimeipata boss!Habari Mkuu,nilikupm namba zangu. Sijui hazijakufikia. (Samahani kwa kuingilia mada kwa mambo binafsi)
Basi sawa... Sasa maswala ya rika yanaingiaje hapa...jifunze kujichanganya ili ujifunze mengi.. Kama wewe umri wako ni mkubwa kausha .... Acha vijana tukuhabarishe kama unataka habari, Sawa mzee wangu?Habari!
tatizo siyo laki tatizo kila sikuKwani laki kitu gani?