Gardner Habash: Natumia laki 1 kwa siku

Umeandika mambo meengi ila hskuna la maana uliloandika
 
Wenye pesa zao sasa!
Yaani kila siku inayokwenda jamaa anakata laki?!!! Daaa heri yake
 
Kiukweli Mimi Katumia buku 3 kwa Siku ndo uwezo wangu
Wapo wapuuzi hspa ambao wanatumia buku(1000) tu kwa siku hawawezi kukubali kwamba unatumia. Buku tatu kwa siku,

Kwasababu wao hawana uwezo wanaamini kila mtu hana uwexo kama wao
 

SAMAHANI KWA KWENDA NJE YA MADA MKUU,

HIVI NI MITAA GANI ZINAUZWA BAISKELI USED AINA YA PHOENIX KWA REJAREJA?
 
Pesa yangu bata zangu naspend na washkaji zangu.. Wewe toa povu tu ila uwezi badilisha chochote.
sina povu, sina haja wala nia wala muda wa kubadilisha chochote maana ni irrelevant na hakuna hoja hapo. Ila ni upuuzi mtu kujikweza eti unakula bata na fulani... bata ni zako, hazituhusu
 
Siwezi kubisha,kwa sababu hajatoa mchanganuo wake kamili,huenda yeye kwa mwezi anatumia milion tatu yani hapo ndo kamaliza matumiz yote ikiwemo kodi bili ya umeme na maji chakula nk,sasa hyo mill 3 ukiigawa kwa siku ndo inaleta laki moja per day.hyo inawezekana.nahisi watu wanadhani matumizi kwa siku yanahusu kula,pesa ya usafiri na starehe tuu bhas.kwani hata kodi ya nyumba ukiigawa kwa 30 si unapata per day unalipa kias gani? sikubali wala sikatai,cjui source zake zote za kipato maana huwez kulimit kuwa yeye ni mtangazaj tuu hana kipato kingine chochote mbali na hcho,pili sijui mchanganuo wa matumizi yake yote kwa mwezi(kila kitu hata mia mbili ya wembe,hata bili kodi na ada mbalimbali)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…