Kweli watu wasingekuwa wanaziuza bei ndogoHii ina starehe gani mkuu?
Pamoja na kututia moyo ila mafuta bado sio rafiki hasa ukipata iliyochoka.
Ulikuwa unataka tushee maumivu ya mafuta we komaa nalo tu
Tatizo sio kutunza inshu ipo kwenye mkojo wa mwarabu yananyonya kama jiniMtu akishindwa kutunza hayo, sijui atatunza ipi tena
Inategemea na uliyochukua, kama ni six (6 Cylinders) hiyo consumption hua juu maana ina speed zaidi.Tatizo sio kutunza inshu ipo kwenye mkojo wa mwarabu yananyonya kama jini
Uongo.Tatizo sio kutunza inshu ipo kwenye mkojo wa mwarabu yananyonya kama jini
Na 1G ina roho ngumu kuliko vvti.Injini ya Vvti inakula mafuta vizuri kuliko 1G
Roho ngumu sababu haina umeme mwingiNa 1G ina roho ngumu kuliko vvti.
Re-Sale value iko chini hayashikilii thamani yake kwa muda mrefu, unaweza ukalivusha maji toka Japan kwa 11M ila baada ya miezi 6 tu ukitafta mteja wanakuja wa 5M ama chini sio kama IST unanunua leo 13M ukija kuliuza mwakani kipindi kama hichi unauza 10.5M.Ulaji wenyewe wa mafuta sio mkubwa kama mnavyosema. Zingatia service kwa wakati utalifurahia, hutaonekana gereji mara kwa mara, naweza sema ina immune kubwa ya kuhimili magonjwa ila .... service ni muhimu. Ni gari ya safari sasa kama wewe unaitumia kuendea gengeni na saloon lazima uichukie. Ikiwa barabarani (long safari) inatulia sana, ni nzito haiyumbi, imeshibaaa. Kuuzwa bei rahisi sio kwa sababu ya ubovu ni kwa sababu mengi yalinunuliwa miaka 10 iliyopita hivyo kwa sasa lazima yauzwe chini. Ukiagiza bado bei yake iko juu na wengi kwa sasa hawayaagizi kwa uoga wa maneno ya kuogopa mafuta!