fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
JapanUnachukua used from japan au used in [emoji1241] ?
Chukua zipo vizuriJapan
Inashawishi vipi weseStarehe ipo kwenye GX110 miguu kama haigongi na shock ups zipo poa ni tamu balaa
Wese inakula poa sana 14km/L safarini huku unakula kipupweInashawishi vipi wese
Ingekuwa hivyo watu wasingeziuza na kuhamia ist na passoWese inakula poa.sana.14km/L safarini huku unakula kipupwe
town 10km/L
Kweli aisee kuna mshikaji yake inakulaga 7kmlIngekuwa hivyo watu wasingeziuza na kuhamia ist na passo
Mkuu ndio nakuambia hivyo kuna watu akili zao zimeshikiliwa na neno CC [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingekuwa hivyo watu wasingeziuza na kuhamia ist na passo
Gari iko poa kwenye mafuta mchawi foleni kwa wanaoishi pembezoni mwa miji au mikoani wanatamba nayo fresh. Shida nyingine Haliuziki kabisa ata ukitaka milion 2 tu.Kweli aisee kuna mshikaji yake inakulaga 7kml
Hahaha mtandaoni unakuta zinauzwa mpaka 1.5mGari iko poa kwenye mafuta mchawi foleni kwa wanaoishi pembezoni mwa miji au mikoani wanatamba nayo fresh. Shida nyingine Haliuziki kabisa ata ukitaka milion 2 tu.
Duh wakuu mtaua watu nyinyi! Gx10au 110 ikupe 10km/l mjini?Wese inakula poa sana 14km/L safarini huku unakula kipupwe
town 10km/L
Hata mimi ninayo, the best you get ni 7km per litre.Kweli aisee kuna mshikaji yake inakulaga 7kml
7km per litre kama unatoka mwanza to Dar si unalia kabisaHata mimi ninayo, the best you get ni 7km per litre.
VVTi siyo engine,ni injection system.Injini ya Vvti inakula mafuta vizuri kuliko 1G
Ukiwa highway inakula ngap ??Hata mimi ninayo, the best you get ni 7km per litre.
10km/lUkiwa highway inakula ngap ??
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]...town km 10 ka lita kwenye GX 100??Wese inakula poa sana 14km/L safarini huku unakula kipupwe
town 10km/L