Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Karibia Tonnes 2kile kidude kidogo sana lakini kina 1740kg ambayo ni advantage na shape yale ilivyo na vile kivyo chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibia Tonnes 2kile kidude kidogo sana lakini kina 1740kg ambayo ni advantage na shape yale ilivyo na vile kivyo chini
makaburu ndio mpango mzima kwa sasa hivi, kuna connection nimepata ya kule nikiwa tayari nafanya yanguAmna namna ni kucheza na Y.O.M tu! Ukitaka latest unaingia kwa mkaburu tu
sasa na kilivyo kidogo vile huwezi linganisha na crown lazima kinajikuta kipo stable zaidi ya crown na kimo chakeKaribia Tonnes 2
Hahahah, uzuri hata suspension wanavyotengeneza wanalimit sana body roll! Tofaut na mjapan ambaye concern hio ndio kwanza ameanza miaka ya hivi karibuniAsasa na kilivyo kidogo vile huwezi linganisha na crown lazima kinajikuta kipo stable zaidi ya crown na kimo chake
Barabarani ukiwa dereva pindi unawasha chombo jua mambo ni 50/50 ukifa salama mshukuru MunguHahahah, uzuri hata suspension wanavyotengeneza wanalimit sana body roll! Tofaut na mjapan ambaye concern hio ndio kwanza ameanza miaka ya hivi karibuni
Unabeti mzeeBarabarani ukiwa dereva pindi unawasha chombo jua mambo ni 50/50 ukifa salama mshukuru Mungu
Unaweza gonga, gongwa, teleza , n.k madereva na sie tuheshimike asee 😀😀Unabeti mzee
Kugongwa ndio msala bora uchochole kama ulivyofanya 😅😅😅Unaweza gonga, gongwa, teleza , n.k madereva na sie tuheshimike asee 😀😀
Sifa ya dereva mzuri ni akili kuwa shape, kama akili mgando hutoboiKugongwa ndio msala bora uchochole kama ulivyofanya 😅😅😅
Na maandalizi pia ya akili, maana unapokwenda beyond 100 KPH lazima uwazie worst case scenario, kwamba je kama lori limechochora huko mbele, unafanyaje? Je tairi ikipasuka katika mwendo huo unafanyaje? Je jamaa kama katanua na kajaa upande wako, haoneshi dalili za kusimama, unafanyaje? Ukiwaza hayo nadhani huwezi kwenda beyond 120 KPH.Sifa ya dereva mzuri ni akili kuwa shape
kwaiyo tunao fika hadi 240KMH sie tunakuwaje yani 😀😀.. cha kwanza huwa nakimbiza gari pale tu ambapo barabara naiona kwa umbali mrefu sana ndio utakuta nina mi speed mikubwa ila kama barabara ina shughuli nyingi ni 100. Na ukiwaza hayo yote uliyosema huyokaa uzidi hata 100 😀😀😀😀Na maandalizi pia ya akili, maana unapokwenda beyond 100 KPH lazima uwazie worst case scenario, kwamba je kama lori limechochora huko mbele, unafanyaje? Je tairi ikipasuka katika mwendo huo unafanyaje? Je jamaa kama katanua na kajaa upande wako, haoneshi dalili za kusimama, unafanyaje? Ukiwaza hayo nadhani huwezi kwenda beyond 120 KPH.
Siwezi kusema nakuonaje bro, ila nawaza tyre burst na reaction zake ukiwa katika mwendo huo! Nawaza iwapo kuna ng'ombe 500 wanakatisha barabara na wewe ukiwa katika mwendo huo, nawaza iwapo kuna mwehu mmoja katanua upande wa pili kwa sababu anasinzia. Just imagine bro, unacheza na 200 ama 240 kph.kwaiyo tunao fika hadi 240KMH sie tunakuwaje yani 😀😀.. cha kwanza huwa nakimbiza gari pale tu ambapo barabara naiona kwa umbali mrefu sana ndio utakuta nina mi speed mikubwa ila kama barabara ina shughuli nyingi ni 100. Na ukiwaza hayo yote uliyosema huyokaa uzidi hata 100 😀😀😀😀
Once upon a time nilijaribu 150 Kph, nilikua naona barabara ipo nyembamba kama uzi, sijui wewe unaionaje ukiwa kwenye 240 kphkwaiyo tunao fika hadi 240KMH sie tunakuwaje yani 😀😀.. cha kwanza huwa nakimbiza gari pale tu ambapo barabara naiona kwa umbali mrefu sana ndio utakuta nina mi speed mikubwa ila kama barabara ina shughuli nyingi ni 100. Na ukiwaza hayo yote uliyosema huyokaa uzidi hata 100 😀😀😀😀
150 si haba ni speed kubwa sana hiyo kama hujazoea league za barabarani ni vizuri unaenda zako kawaida ila pia wakati mwingine tunatembea haya maspeed unakuta unaenda mbali na utakiwa haraka haraka kwenye baadhi ya mamboOnce upon a time nilijaribu 150 Kph, nilikua naona barabara ipo nyembamba kama uzi, sijui wewe unaionaje ukiwa kwenye 240 kph
Hii hapa sikuonaga hata vipande vyake 😀😀😀.. na nilikuwa na 220 ilipochanikia. Mengine tunaepushwa tu mkuu wangu, huwa nakimbiza kwenye barabara amabyo naiona zaidi ya mita kadhaaSiwezi kusema nakuonaje bro, ila nawa tyre burst na reaction zake ukiwa katika mwendo huo! Nawaza iwapo kuna ng'ombe 500 wanakatisha barabara na wewe ukiwa katika mwendo huo, nawaza iwapo kuna mwehu mmoja katanua upande wa pili kwa sababu anasinzia. Just imagine bro, unacheza na 200 ama 240 kph.
Hahahahah huivagaiSifa ya dereva mzuri ni akili kuwa shape, kama akili mgando hutoboi
Chuma ya Mjerumani Audi, ingekuwa Toyota tungeshakuimbia parapanda 😀Hii hapa sikuonaga hata vipande vyake 😀😀😀.. na nilikuwa na 220 ilipochanikia. Mengine tunaepushwa tu mkuu wangu, huwa nakimbiza kwenye barabara amabyo naiona zaidi ya mita kadhaa View attachment 1964012
Mwendo inategemea gari gani, barabara gani na dereva gani. Wengi tunakosea hapo. Unakuta mtu ana gari ya ajabu, barabara haijui na uwezo wake kumudu gari ni mdogo sana. Hapo akienda speed kubwa ni majanga.Once upon a time nilijaribu 150 Kph, nilikua naona barabara ipo nyembamba kama uzi, sijui wewe unaionaje ukiwa kwenye 240 kph