Gari aina ya IST inawezaje kunirudishia faida

Gari aina ya IST inawezaje kunirudishia faida

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Habarini za muda huu wakuu, Katika platform niipendano kabisa hapa duniani ya kwanza ni huu mtandao wa nyumbani tanzania JmaiiForum, nimejifunza vitu vingi sana na kujua mambo mengi sana na kupata msaada mwingi sana kutoka kwa wana jamii wenzangu wa humu ndani, kikubwa ni bando tu.

Ngoja niende kwenye kiini cha mada moja kwa moja:
Nipo hapa jiji la kunenge (jiji la dar es salaam), nataka kununua gari aina ya IST, kwaajili ya kufanya biashara ya UBER na biashara nyinginezo zinazowezekana kufanyika kupitia gari aina ya IST, naombeni ushauri wenu wa dhati kabisa

1. Je naweza kurudisha gharama nilio nunulia gari ndani ya mwaka mmoja kwa kuitumia hii gari kuniigizia kipato?

2. Pia naombeni mnipe michakato mingine ambayo ntaitumia hii gari katika ili jiji la dar es salaam kuniingizia kipata nje ya UBER?

Note: Katika michakato iyo yote ya kutoa ushauri zingatia Dereva ni mimi mwenyewe na mmiliki ni mimi mwenyewe

assume gari nimenunua 12.0Milion or 12.5Milion (IST)
mawazo yenu bora ndio yatanipa mamui bora zaidi.

Karibuni sana kwa ushauri wenu
 
Habarini za muda huu wakuu, Katika platform niipendano kabisa hapa duniani ya kwanza ni huu mtandao wa nyumbani tanzania JmaiiForum, nimejifunza vitu vingi sana na kujua mambo mengi sana na kupata msaada mwingi sana kutoka kwa wana jamii wenzangu wa humu ndani, kikubwa ni bando tu....
Paki sehemu yenye watu ning'iniza hata neti au bidhaa nyibgine inayouzika mbona biashara utafanya na faida utaiona.
Jamaa yangu kamnunulia mkewe spashio namba D . Saa hivi ana uza neti.
 
Paki sehemu yenye watu ning'iniza hata neti au bidhaa nyibgine inayouzika mbona biashara utafanya na faida utaiona.
Jamaa yangu kamnunulia mkewe spashio namba D . Saa hivi ana uza neti
Asante kwa ushauri
 
Kama utakuwa unaendesha mwenyewe itakulipa lakini kama utampa mtu akuletee hesabu jiandae na maumivu, sbb kwa wiki uber hesabu kwa boss ni 150,000 kwa mwezi ni 600,000 kwa mwaka ni 7,200,000 bado hapo unadaiwa karibia milioni tano ili ifike 12m, ukiendesha mwenyewe kwa siku unaweza kuingiza hadi laki moja kwa hesabu ya haraka kwa wiki unaingiza laki tano kwa mwezi 2m kwa mwaka ina maana 24m yaani pesa yako inarudi na unanunuwa ist nyingine. Akili kichwani mwako.
 
Kama utakuwa unaendesha mwenyewe itakulipa lakini kama utampa mtu akuletee hesabu jiandae na maumivu, sbb kwa wiki uber hesabu kwa boss ni 150,000 kwa mwezi ni 600,000 kwa mwaka ni 7,200,000 bado hapo unadaiwa karibia milioni tano ili ifike 12m, ukiendesha mwenyewe kwa siku unaweza kuingiza hadi laki moja kwa hesabu ya haraka kwa wiki unaingiza laki tano kwa mwezi 2m kwa mwaka ina maana 24m yaani pesa yako inarudi na unanunuwa ist nyingine. Akili kichwani mwako.
Hio laki kila siku unaendeshea gari Kenya ama hapa hapa Dar?
 
Habarini za muda huu wakuu, Katika platform niipendano kabisa hapa duniani ya kwanza ni huu mtandao wa nyumbani tanzania JmaiiForum, nimejifunza vitu vingi sana na kujua mambo mengi sana na kupata msaada mwingi sana kutoka kwa wana jamii wenzangu wa humu ndani, kikubwa ni bando tu.

Ngoja niende kwenye kiini cha mada moja kwa moja:
Nipo hapa jiji la kunenge (jiji la dar es salaam), nataka kununua gari aina ya IST, kwaajili ya kufanya biashara ya UBER na biashara nyinginezo zinazowezekana kufanyika kupitia gari aina ya IST, naombeni ushauri wenu wa dhati kabisa

1. Je naweza kurudisha gharama nilio nunulia gari ndani ya mwaka mmoja kwa kuitumia hii gari kuniigizia kipato?

2. Pia naombeni mnipe michakato mingine ambayo ntaitumia hii gari katika ili jiji la dar es salaam kuniingizia kipata nje ya UBER?

Note: Katika michakato iyo yote ya kutoa ushauri zingatia Dereva ni mimi mwenyewe na mmiliki ni mimi mwenyewe

assume gari nimenunua 12.0Milion or 12.5Milion (IST)
mawazo yenu bora ndio yatanipa mamui bora zaidi.

Karibuni sana kwa ushauri wenu
Ushapewa mgao na dingi!?
 
Hio laki kila siku unaendeshea gari Kenya ama hapa hapa Dar?
Hapa Dar na nishawahi kujaribu kama wiki moja baada ya kuona dereva wangu ananiletea pesa pungufu na visingizo vingi
 
Hio laki kila siku unaendeshea gari Kenya ama hapa hapa Dar?
Hiyo biashara kulaza milioni 2 kwa mwezi i think ni changamoto sana sana, Na majority naona wanalia ugumu.Anyway,stratergy matters! pengine angeelezea anavyofanya kupata hiyo income kubwa kuliko wengine ingeweza kuwasaidia wanao stuggle out of frustration.
 
A
Kama utakuwa unaendesha mwenyewe itakulipa lakini kama utampa mtu akuletee hesabu jiandae na maumivu, sbb kwa wiki uber hesabu kwa boss ni 150,000 kwa mwezi ni 600,000 kwa mwaka ni 7,200,000 bado hapo unadaiwa karibia milioni tano ili ifike 12m, ukiendesha mwenyewe kwa siku unaweza kuingiza hadi laki moja kwa hesabu ya haraka kwa wiki unaingiza laki tano kwa mwezi 2m kwa mwaka ina maana 24m yaani pesa yako inarudi na unanunuwa ist nyingine. Akili kichwani mwako.
Alisikika motivational speaker akiongea.
 
Hiyo biashara kulaza milioni 2 kwa mwezi i think ni changamoto sana sana, Na majority naona wanalia ugumu.Anyway,stratergy matters! pengine angeelezea anavyofanya kupata hiyo income kubwa kuliko wengine ingeweza kuwasaidia wanao stuggle out of frustration.
Mtu kama huyo sidhani kama anamiliki hata chombo 😹😹😹
 
Back
Top Bottom