SOLD: Gari aina ya Rav 4 inauzwa

Status
Not open for further replies.

Rich Forever

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2017
Posts
467
Reaction score
469
Gari aina ya rav 4 milango mitatu inauzwa dollar 1800 ipo vizur kabisa ila imesajiliwa kwa namba za ubalozi imetembea Km 122625 cc 1990 za kuibadili kuja kiraia ni jukumu la atakaee inunua ipo osterbay maongezi yapo.

Shughuli yake kubwa ilikuwa kupeleka watoto shule na sokoni basi.

Mawasiliano

0758556283



MREJESHO :GARI ISHAUZWA .

SHUKRANI SANA JAMII FORUM.
 
Nikiwa na Tshs siwezi kupata mkuu?
 
Hili gari litakuwa la Ubalozi wa Msumbiji
 
Huo Mkangafu unauzwa $1800 na hapo bado ushuru. Namshauri alipeleke Kibaigwa huko atawapata wengi tu.
Nimecheka sana wabongo bana kwa ujuaji uje uone gar acha uharibifu wa biashara za watu hio gar sio ya mswahili service had ikatae kuwaka na kila mwez unasafir nayo kwenda mosh kulingishia.
 
Itakuwa iliuzwa kwa mnada, baada ya kumaliza muda wake kutumika ubalozini
Mkuu gar yabl ubalozi ukiuziwa huachiwi kuondoka na plate namba hata hiyo mtu akijitokeza kuichukua hizo plae namba zinatolewa kurudishwa ubalozini ili ifutwe ktk system isije kutumika ktk mambo ua uhalifu
 
sina hakika sana ila nasikia zinadaiwaga kodi ya TRA aikinunuliwa na raia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…