Patandi
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 420
- 397
Wanajamvi,
Gari yangu aina ya Toyota Noah, enine yake ni 1AZ, baada ya kukagua maji na oil niliiendesha mita kama 50 hivi nikasimama ili niingie dukani, kabla sijaizima ikazima yenyewe. Baada ya hapo imegoma kuwaka kabisa. Wakati nikiiendesha mpaka inazima haikuonesha tahadhali yoyote kwenye dash board. Kwa wajuzi tatizo itakuwa nini? Naomba mnijuze tafadhali.
Gari yangu aina ya Toyota Noah, enine yake ni 1AZ, baada ya kukagua maji na oil niliiendesha mita kama 50 hivi nikasimama ili niingie dukani, kabla sijaizima ikazima yenyewe. Baada ya hapo imegoma kuwaka kabisa. Wakati nikiiendesha mpaka inazima haikuonesha tahadhali yoyote kwenye dash board. Kwa wajuzi tatizo itakuwa nini? Naomba mnijuze tafadhali.