Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Msaada
Nitaitambuaje gari amabyo haijawai rudiwa rangi?
Nitaitambuaje gari amabyo haijawai rudiwa rangi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano Toyota Tanzania.Hao wataalam bongo wapo? na wanapatikana wapi
unajua bongo watu vichwa vimejaa maji, yaani kuifanyia usafi gari inaonekana ni tatizo 🤣Hivi mie sielewagi mantiki ya watu ku complain gari imerdiwa rangi! Sasa kama kulitokea ulazma ipigwe rangi shida iko wapi? Wangeiacha na mikwaruzo au rangi chakavu iliofubaa?
Gari ni engine na gearbox vikiwa sawa na body liwe halijabondeka sana
Kama gari ikirudiwa rangi na ukashindwa kuitambua. I think that is okay.Msaada
Nitaitambuaje gari amabyo haijawai rudiwa rangi?
😄😄 Na hili sio tatizo letu bongo tu,hata Nigeria nao ukipiga rangi gari tu jua imeisha hio.Hivi mie sielewagi mantiki ya watu ku complain gari imerdiwa rangi! Sasa kama kulitokea ulazma ipigwe rangi shida iko wapi? Wangeiacha na mikwaruzo au rangi chakavu iliofubaa?
Gari ni engine na gearbox vikiwa sawa na body liwe halijabondeka sana
Yani wanahisi ili gari ipigwe rangi lazma iwe imegongwa na fuso labdaunajua bongo watu vichwa vimejaa maji, yaani kuifanyia usafi gari inaonekana ni tatizo 🤣
hata likigongwa na fuso, kama limerudishwa kwenye hali yake nzuri tatizo liko wapi? kwani hayo yanayotoka japani hayapatagi ajali? 🤣Yani wanahisi ili gari ipigwe rangi lazma iwe imegongwa na fuso labda
Gari zetu za Yard nyingi zimerudiwa rangi Japan ila ukiiona iko piru balaahata likigongwa na fuso, kama limerudishwa kwenye hali yake nzuri tatizo liko wapi? kwani hayo yanayotoka japani hayapatagi ajali? 🤣
kuna mchina anakurudishia kitu kinakuwa bomba zaidi hata ya kilivyotoka japanGari zetu za Yard nyingi zimerudiwa rangi Japan ila ukiiona iko piru balaa
Hahahahahah yuko bongo huyo?kuna mchina anakurudishia kitu kinakuwa bomba zaidi hata ya kilivyotoka japan
nenda sayansi pale kijitonyama japo sina uhakika kama bado wapoWapi anapatikana
Muone jamaa huyu tttr_autoupgrades ig... bei zimesimamia ukucha ila kazi kali zaidi ya inavokua JapanWapi anapatikana
ndio pale sayansi, japo bei zake zimechangamkaHahahahahah yuko bongo huyo?
Kwahio akitoa kitu kama imetoka singaporendio pale sayansi, japo bei zake zimechangamka
Hivi mie sielewagi mantiki ya watu ku complain gari imerdiwa rangi! Sasa kama kulitokea ulazma ipigwe rangi shida iko wapi? Wangeiacha na mikwaruzo au rangi chakavu iliofubaa?
Gari ni engine na gearbox vikiwa sawa na body liwe halijabondeka sana
Sasa kwa gari yangu ambayo bumper limekwaruzika nikiipiga rangi bumper inakuwa na tatizo?Ina maana body ya Gari ipo Kama ilivyotoka Japan, Ina maana kubwa Sana, Rangi zinaficha damage nyingi Na hupat I uhalisia wa Gari!