uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Msaada
Nitaitambuaje gari amabyo haijawai rudiwa rangi?
Angalia Kwenye edges, kuna Sehemu huwa wanafunika wakipiga Rangi, Lazima kunabaki Na Hali Fulani ya kupilizwa.
Mfano ukifangua bonnet Kwenye bawaba Za bonnet, ukifungua taa Kwa ndani, it's so easy!