Gari dogo la kukodi mkoani Kagera na mwanamke wa kupiga naye story za kimkakati

Gari dogo la kukodi mkoani Kagera na mwanamke wa kupiga naye story za kimkakati

MENEMENE TEKERI NA PERESI

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2022
Posts
5,392
Reaction score
14,646
Husika na kichwa Cha habari hapo juu ,salamu haikuongezei thamani .

Mwenzenu nipo mkoani Kagera specifically katika mji wa Bukoba mjini ,popote mlipo mnaojua mnakodisha magari madogo kwaajili ya kufanya michakato yangu ,tafadhali naomba mnitafute PM ,kwa kuandika namba yenu Kama kichwa Cha habari na Mimi nitakupigia ili nipate usafiri .

Ila wewe dada mnyonge ,uliyeteswa na aina mbalimbali ya viumbe hasa kiumbe mwanaume ,Sasa umefikiwa Mr.Comforter nipo mkoani kwako kukufariji na kukusahaulisha magumu yote unayopitia ,tafadhali fuata utaratibu ainishwa wa kuja PM na kuandika namba yako kama kichwa Cha habari ,itapendeza na hapo ukisema ,mheshimiwa Mr.comforter ni Mimi hapa binti mnyonge nipo hapa kupata faraja .

Nitafurahi nikifanikiwa hayo malengo yangu ,nipo hapa kwa siku nne .

Ni Mimi Mr comforter Daktari MENEMENE TEKERI NA PERESI

Nautegemea msaada wako mkubwa Kaka mkubwa Dkt HAYALAND na @MR Rutabo
 
Back
Top Bottom