Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Hiyo GX100 ungenunua yenye VVTI usingeumia mafuta. Mimi ninayo nikisafiri natumia lita moja kwa Km12. Anyway tafuta Toyota Raum kama mdau alivyokushauri hapo juu.
 
Kama hajanunua tokea halivyopost huu uzi, hawezi tena, huyu kijana si yupo tabora, Kama si Igunga au Nzega...
 
Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana
Naomba kuuliza na mm hapa bei ya sokoni ya hili toleo ulilolitaja mkuu
Ikiwa showroom na kama namvua mtu inakuwaje
 
Showroom mkuu inaanzia ,12mil mpaka 16mil .kwa mtu mkonon inaanzaia 7mil mpaka 12mil
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Kama familia kubwa nunua toyota wish cc 1800 vvti engine. Mm kwa sasa nimeagiza corolla axio 1500cc CVT engine hizo za 4AT nimezipa kisogo kwanza. Tatizo wabongo na cc hatutak kujaribu mambo mapya kila cku kuigana tu
 
Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana

Toyota wish ni kubwa na ina seat 7 kwa familia ni sawa maana reeeefu alafu unywaji wa mafuta ni mdogo sana huwezi fananisha na hiyo noah
 
Mshaurini huyo mkuu achukue Leyland itafaa kwa familia, spare zake zinapatikana England. Familia watafurahia hasa ukipa Leyland Albion cc 5600
 
Wakuu wajuzi wa JF,

Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.

Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.

Nina bajeti ya Shs.8,000,000!

Asanteni wadau

Hapo zote gari wametaja ila hii ndio gari ya wewe kununua,bonge la family car 7 seater, cc1790 vvt-i inakamua 35ltrs Moshi-Dsm full kipupwe inakwenda kwa jina la Toyota Isis:
isis1.jpg




isis2.jpg



isis3.jpg
 
Back
Top Bottom