Wakuu,Labda mie ndio ninatatizo la kutokupenda gari za chini.
Gari za chini Dar kwenye Foleni zinatesa sana kwa joto,hasa ukiwa katikati halafu huku kuna Scania na upande wa pili Scania lazima uwive kwa joto,inabdidi utumie AC sana
Mie nakushauri nunua Noah old model ni nzuri sana kwa Familia pia.
Ushauri wa ziada ni kwamba baada ya kupata maelezo humu,jaribu kwenda na fundi mzoefu wakati wa kununua,kuna vitu vya zaida vya kitaalam atakushauri,maana kwenye Show rooms pale kuna watu wanauzoefu wa magari na wanajua sana kuimbisha hasa wakikuona huna Ideas nzuri za magari,unaweza wewe kwenda na wazo la Cc tu kichwani kishaukapewa gari yenye cc kama hizo lakini vitu vingine ni vya kitaalam zaidi kwa fundi kuweza kujua kwa uimara wa gari na ustahimilivu wake.