Goma zuri ni Toyota Alphard, utadhani uko first class ya ndegeWakuu wajuzi wa JF,
Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.
Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.
Nina bajeti ya Shs.8,000,000!
Asanteni wadau
Wanaposema gari ya 1993 wanamaanisha imetengenezwa 1993?Nunua suzuki escudo ya 1993_95 kama injini nzuri hutajuta......
hahahahah maharage ya Iringa. Najua bajeti yake ni ndogo, ila ni moja ya gari makini sana kwa familia, hasa kwa wanawakeBei ya Alphard ni around 24 million used from Japan!! mwenzio kasema bajet yake milioni 8 sasa ww sijui unaropoka vitu gani?? Muda wote umekula maharage ya wapi ww kiumbe??
Hahahaha.....hadi dada yao!Kama una familia ya kiarabu mkuu nunua voxy inabeba wote mpaka dada yao
X-trail kwa m 8 wapi?Kwa familia na bajeti yako chukua Nissan X-trail.
Ulishaiona passo nyeusi?Passo haina Mvuto jamani..... uwwwiiiii!!!
Ndiyo yaani 1993 year of manufacture! Ila wenzetu wanatunza pia barabara zao ni nzuri ukiipata ni kama mpya tuWanaposema gari ya 1993 wanamaanisha imetengenezwa 1993?
Mkuu samahani,nimejaribu kuingia Befoward na kufanya bargaining,wasiwasi wangu gani itakuja nzima,mwenye experience please
Mpya bei yke ngapi mkuu?nijibu tafadhaliHapo zote gari wametaja ila hii ndio gari ya wewe kununua,bonge la family car 7 seater, cc1790 vvt-i inakamua 35ltrs Moshi-Dsm full kipupwe inakwenda kwa jina la Toyota Isis:
View attachment 358114
View attachment 358115
View attachment 358116
ukiagza mpk inaingia barabaran inagharimu kiasi gn?ipo chini chini sn vp inawezekana kuinua uu kidg?Aagiza mwenyewe Japan anapata bei mzuri tu ila yard za bongo wanahasira...na madalali wengi sana kwenye Yard zetu
Mkuu kwa matumiz ya apa town na trip chache country side vp inafaa?naikubal hii gari ingawa ipo chini chini sn.TOYOTA ALPHARD ni gari zuri sana kwa matumizi ya kifamilia hasa ya kiafrica,tatizo bei yake bado ipo juu kidogo,pia ina engine nzuri za 2AZ cc 2360 ....Lakini tahadhari zipo zingine zina engine kubwa cc3000.
Unapomshauli angalia na Bajeti yake, sidhani kama hatamani Kluger, Rav 4 Miss Tanzania, Van guard, na Wanyama wengine ila hali hairuhusu.Wakuu,Labda mie ndio ninatatizo la kutokupenda gari za chini.
Gari za chini Dar kwenye Foleni zinatesa sana kwa joto,hasa ukiwa katikati halafu huku kuna Scania na upande wa pili Scania lazima uwive kwa joto,inabdidi utumie AC sana
Mie nakushauri nunua Noah old model ni nzuri sana kwa Familia pia.
Ushauri wa ziada ni kwamba baada ya kupata maelezo humu,jaribu kwenda na fundi mzoefu wakati wa kununua,kuna vitu vya zaida vya kitaalam atakushauri,maana kwenye Show rooms pale kuna watu wanauzoefu wa magari na wanajua sana kuimbisha hasa wakikuona huna Ideas nzuri za magari,unaweza wewe kwenda na wazo la Cc tu kichwani kishaukapewa gari yenye cc kama hizo lakini vitu vingine ni vya kitaalam zaidi kwa fundi kuweza kujua kwa uimara wa gari na ustahimilivu wake.
Hiyo Toyota Noah anaweza kuipata kwa 8,000,000 Watu wanamshauri kulingana pesa aliyokua nayo.Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana