Gari gani poa ya ''kifamilia?''

Gari gani poa ya ''kifamilia?''

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wakuu wajuzi wa JF,

Naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.

Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.

Nina bajeti ya Shs.8,000,000!

Asanteni wadau
 
Wakuu wajuzi wa JF,naombeni mnishauri mimi na wadau wengine watajifunzia hapa. Mwaka jani niliagiza Chaser GX 100,C.C 2300 ya kuanzia maisha,kiukweli nilikurupuka sana wadau.Wese lilikuwa linachuruzika balaa,sometimes nalazimika kupaki! Sasa naja kwenu kwa unyenyekevu kijana wenu mnipe ushauri ni gari gani poa ya kifamilia inayofaa,in terms of spare parts na fuel consumption.Nina bajeti ya Shs.8,000,000!Asanteni wadau

Subiri wataalam watakuja.
 
Kwa fuel consumtion kuna ist CC 1300 au Vitz new Model CC 990.haya yanasevu sana gharama za mafuta .
 
Zipo nyingi Toyota IST cc 1300/1500, Toyota CarinaTi cc 1500, Toyota Runx cc 1500, Toyota Allex cc 1500 ila kama unaweza ogeza kama 2mln chukua Toyota Allion 1500cc. Hizo zote mjini kwenye foleni zinakula 1ltr/11km na highway ni 1ltr/16km.
 
Zipo nyingi Toyota IST cc 1300/1500, Toyota CarinaTi cc 1500, Toyota Runx cc 1500, Toyota Allex cc 1500 ila kama unaweza ogeza kama 2mln chukua Toyota Allion 1500cc. Hizo zote mjini kwenye foleni zinakula 1ltr/11km na highway ni 1ltr/16km.

mkuu umenipa bonge la idea,hapo kwny Toyota Allion,je vp kuhusu spare parts,upatikanaji na cost
 
Zipo nyingi Toyota IST cc 1300/1500, Toyota CarinaTi cc 1500, Toyota Runx cc 1500, Toyota Allex cc 1500 ila kama unaweza ogeza kama 2mln chukua Toyota Allion 1500cc. Hizo zote mjini kwenye foleni zinakula 1ltr/11km na highway ni 1ltr/16km.

mkuu umenipa bonge la idea,hapo kwny Toyota Allion,je vp kuhusu spare parts,upatikanaji na cost
 
Mkuu kama mdau aluvyokushauri uongeze 2ml utapata Corolla Spacio au Raum zina 1490cc na spare parts zinapatikana kwa bei ya kawaida sana
 
Mkuu naomba unieleweshe tofauti iliyopo kati ya Ti Na Si kwenye Carina.
Gari nyingine nzuri ni corrola NZE 121 ni nzuri Na fuel consumption.. iko chini sana.

Mkuu tafuta Carina Ti. Huwezi kuamini niliweka full tank lita 50 kutoka moshi nimefika dar bado mafuta yapo juu ya robo tank. Ti ni cc 1490
Usije kununua carina Si
 
Mkuu naomba unieleweshe tofauti iliyopo kati ya Ti Na Si kwenye Carina.
Gari nyingine nzuri ni corrola NZE 121 ni nzuri Na fuel consumption.. iko chini sana.

.ni gari nzuri na imara, ti hailimafuta sana kama si but ti haifunguki kivile kama si,hasa katika safari zetu mbali ....
 
Vitz new model ina space kubwa tu kwa ndani vilivile bado hazijawa mtumba hapa bongo kama ist.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wakuu,Labda mie ndio ninatatizo la kutokupenda gari za chini.
Gari za chini Dar kwenye Foleni zinatesa sana kwa joto,hasa ukiwa katikati halafu huku kuna Scania na upande wa pili Scania lazima uwive kwa joto,inabdidi utumie AC sana
Mie nakushauri nunua Noah old model ni nzuri sana kwa Familia pia.

Ushauri wa ziada ni kwamba baada ya kupata maelezo humu,jaribu kwenda na fundi mzoefu wakati wa kununua,kuna vitu vya zaida vya kitaalam atakushauri,maana kwenye Show rooms pale kuna watu wanauzoefu wa magari na wanajua sana kuimbisha hasa wakikuona huna Ideas nzuri za magari,unaweza wewe kwenda na wazo la Cc tu kichwani kishaukapewa gari yenye cc kama hizo lakini vitu vingine ni vya kitaalam zaidi kwa fundi kuweza kujua kwa uimara wa gari na ustahimilivu wake.
 
Mkuu tafuta Carina Ti. Huwezi kuamini niliweka full tank lita 50 kutoka moshi nimefika dar bado mafuta yapo juu ya robo tank. Ti ni cc 1490
Usije kununua carina Si

Mkuu samahani,nimejaribu kuingia Befoward na kufanya bargaining,wasiwasi wangu gani itakuja nzima,mwenye experience please
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu hayo yote magari yaliyotanjwa hakuna hata moja family car mkuu. Gari ya family na ambayo inaimili halisi ya barabara za kwetu na spears zake zinapatikana kwa urais na pia ni rais sana kuliuza kama umechoka kulitumia .lipo sokoni sana mkuu ni Toyota Noah model 1999.hii car sisi macardeal tunaiita roho ya paka ni gari ngumu sana na hata mafuta inatumia vizuri sana
 
Back
Top Bottom