Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agiza Flying 12 pesa narusha Kwa LIPA NAMBAIla Boko Mlemela kuna bahati mbaya ya kupata magari vimeo sijui kwasababu ya barabara? Anyway baadae nitakuwa hapo Boko Villa Inn & resort
Itakuwa inamilikiwa na traffic police hiyoGari, tunatoka mbezi Gari inasukumwa mpaka round about ili iwake, Gari tumefika karibu na kwa Komba imepasuka Tairi. Konda hataki kurudisha nauli Ajali ikitokea tutamtafuta mchawi nani?
Kemea ajali
View attachment 2528259
View attachment 2528262
Nahisi ni somewhere hapo Kiluvya au Kongowe.Ni Kibaha au wapi huko Mnemela?
Nakulaga ngumu halafu kwa pesa yangu[emoji1545]Agiza Flying 12 pesa narusha Kwa LIPA NAMBA
Nyuma ya Tumbi kuko njemaNi Kibaha au wapi huko Mnemela?
Hapana ni nyuma ya Tumbi hospital maili mojaNahisi ni somewhere hapo Kiluvya au Kongowe.
Japo sina uhakika sana.
Gari, tunatoka mbezi Gari inasukumwa mpaka round about ili iwake, Gari tumefika karibu na kwa Komba imepasuka Tairi. Konda hataki kurudisha nauli Ajali ikitokea tutamtafuta mchawi nani?
Kemea ajali
View attachment 2528259
View attachment 2528262
Na utapanda hayo hayo au utakwenda na usafiri wako?Ila Boko Mlemela kuna bahati mbaya ya kupata magari vimeo sijui kwasababu ya barabara? Anyway baadae nitakuwa hapo Boko Villa Inn & resort
Kwahiyo umeamua kunitusi?[emoji2827][emoji848]Poa. Nikajua utaingia mkenge, watu tuna ugwadu.
Nina boda yangu mkweche itanifikishaNa utapanda hayo hayo au utakwenda na usafiri wako?
Afu Naona Boko mnemela, soga na Vikuge ni kama zimepakana hvNina boda yangu mkweche itanifikisha
Huko hamna barabara ndiyo maana magari mabovu ni mengiGari, tunatoka mbezi Gari inasukumwa mpaka round about ili iwake, Gari tumefika karibu na kwa Komba imepasuka Tairi. Konda hataki kurudisha nauli Ajali ikitokea tutamtafuta mchawi nani?
Kemea ajali
View attachment 2528259
View attachment 2528262
Huko viwanja vinaendaje mkuuNina boda yangu mkweche itanifikisha