Gari hii inauzwa

maestro2014

Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
99
Reaction score
18
Gari hii inauzwa na mwenye nayo anaiuza 4.5m haongezi wala kupunguza hata mia ni kwamba mwenyewe anashida kubwa sana hivyo anasema mtu hufaliwa na chake ni pm ili upate gari hii
 
Gari hii inauzwa na mwenye nayo anaiuza 4.5m haongezi wala kupunguza hata mia ni kwamba mwenyewe anashida kubwa sana hivyo anasema mtu hufaliwa na chake ni pm ili upate gari hii

Hiyo ni gari au kifuu cha nazi ..
 
piga picha vizuli watu waone hivi watu hawaoni piga mbele ,nyuma
 
piga picha vizuli watu waone hivi watu hawaoni piga mbele ,nyuma
 
Technology ngumu kweli kwako. Omba ufundishwe kuattach picha
 
Picha nyengine hizi hapa
 

Attachments

  • 1393155524224.jpg
    43.2 KB · Views: 178
  • 1393155540371.jpg
    49 KB · Views: 180
  • 1393155567308.jpg
    80 KB · Views: 174
  • 1393155625634.jpg
    48.7 KB · Views: 159
  • 1393155645956.jpg
    61.8 KB · Views: 170
E bwana e hii gari mbona INA speed nyingi ?260 sihawahi ona! Mkuu ngoja Niku pm kbla watu hawajaiona!
 
Number plate inasomaje? naona haujaweka hata namba ya simu aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…