Gari hula mafuta zaidi likiwa laenda polepole au haraka?

Gari hula mafuta zaidi likiwa laenda polepole au haraka?

Magari mengi ya kileo tunaweza sema hayali mafuta na kama yanakula bhasi ni katika kiwango kidogo sana hii inatokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mfano:Magari mengi ya kisasa ya siku hizi hutumia umeme kwa sehemu kubwa hii inasababisha gari inapokuwa katika high speed ulaji wa mafuta hupungua na hutumia umeme kuji-run yenyewe..
 
Magari mengi ya kileo tunaweza sema hayali mafuta na kama yanakula bhasi ni katika kiwango kidogo sana hii inatokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mfano:Magari mengi ya kisasa ya siku hizi hutumia umeme kwa sehemu kubwa hii inasababisha gari inapokuwa katika high speed ulaji wa mafuta hupungua na hutumia umeme kuji-run yenyewe..
Nimeyaona sana hayo magari ya design hiyo mitandaoni na kusema kweli yako vizuri kwa utumizi wake wa mafuta. Kuna yale ya umeme na ya kutumia miale ya jua.
 
Magari mengi ya kileo tunaweza sema hayali mafuta na kama yanakula bhasi ni katika kiwango kidogo sana hii inatokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mfano:Magari mengi ya kisasa ya siku hizi hutumia umeme kwa sehemu kubwa hii inasababisha gari inapokuwa katika high speed ulaji wa mafuta hupungua na hutumia umeme kuji-run yenyewe..
Umeme ukimaanisha gari za Hybrid au EV kama hizi tesla?

Kama ni hizi gari zetu za kawaida za petrol/diesel naomba unieleweshe umeme unasaidiaje gari kutokula wese.
 
Gari hula mafuta zaidi likiwa laenda polepole au haraka? Wengi husema gari likienda mbio kweli halili mafuta kiviiile! Je, ni kweli?
Gari haili mafuta ikiwa ratio ya gear na engine rotation viko balanced! Engine ikizunguka zaidi katika gear ndogo inakula sana esp. 1-2nd Gears!

In most cases gari ikiwa katika speed ya wastani kuanzia 50-100KPH hapo ndipo kuna most balance! Ama kwa lugha ingine 3-5th Gears! Gari haili mafuta sana mpaka pale ambapo utaiongezea stress engine baada ya kumaliza gear zote!
 
Mapigo ya accelerator yakiwa slow na nozel nayo inatema wese slow, mapigo yakiwa kasi na nozel nayo inatema wesee kwa kasi. So high speed wese jingi linatumika.

Wala siyo sababu.

Engine kama VVTi zina vitu viwili. Ignition adavance na ignition retard. Yaani unaweza kuamua Valve za intake zikae sana wazi ili mafuta na hewa nyingi iingie au ziwahi kufunga ili mafuta na hewa kidogo viingie. No mata what nozzle inatemaje.
 
Magari mengi ya kileo tunaweza sema hayali mafuta na kama yanakula bhasi ni katika kiwango kidogo sana hii inatokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia mfano:Magari mengi ya kisasa ya siku hizi hutumia umeme kwa sehemu kubwa hii inasababisha gari inapokuwa katika high speed ulaji wa mafuta hupungua na hutumia umeme kuji-run yenyewe..
Ya kweli hayo?

Mfano gari gani mkuu?
 
Tatizo humu kila mmoja ni mjuaj na ana gari hata km amehadithiwa atakuja kucoment,km ilivyo kwa mafundi wengi hata jambo wasilokijua watachokonoa tu.Hatutaki experience ya kusadikika,km kitu hukijui tulia mmekua confusors badala ya kusaidia watu
 
Back
Top Bottom