Gari imekosa mwelekeo, abiria wanatoa macho kuangalia inapokwenda kuangukia

Gari imekosa mwelekeo, abiria wanatoa macho kuangalia inapokwenda kuangukia

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Wakati unakuja watanzania wataishiwa uvumilivu kwa kuona Mali zao na nchi yao ikiuzwa pasina wao wenyewe kuridhia.

Ni kama kufumba na kufumbua maji hayapatikani tena wakati ilo jambo lilishasahaulika, umeme siyo wa uhakika tena sasa watanzania hawajui mwekezaji gani atakuja kuwekeza kwenye nchi isiyokuwa na umeme, soon mitambo ya symbion itawashwa tena ili ela ziendelee kulipwa kwa wahuni, mradi wa kipigaji wa bagamoyo port umeanza kupigiwa chapuo maana yake mambo yameiva, watu washakula % zao sasa wana push agenda.

Hatujui nchi inaenda wapi, Hatujui ni nani ana mater mind hii mipangilio yote, Hatujui haya yote yanafanywa kwa manufaa ya nani.

Deep state inaonekana wanafaidika na yote yanayoendelea kwaiyo hata wao hawana faida yoyote kwa nchi hii.

Saa ipo, siku ipo, jambo ambalo halikutegemewa litatokea na hili litakuwa ni kwa maslahi ya taifa hili.

Mtu wa watu.PNG
 
Wakati unakuja watanzania wataishiwa uvumilivu kwa kuona Mali zao na nchi yao ikiuzwa pasina wao wenyewe kuridhia.

Ni kama kufumba na kufumbua maji hayapatikani tena wakati ilo jambo lilishasahaulika, umeme siyo wa uhakika tena sasa watanzania hawajui mwekezaji gani atakuja kuwekeza kwenye nchi isiyokuwa na umeme, soon mitambo ya symbion itawashwa tena ili ela ziendelee kulipwa kwa wahuni, mradi wa kipigaji wa bagamoyo port umeanza kupigiwa chapuo maana yake mambo yameiva, watu washakula % zao sasa wana push agenda.

Hatujui nchi inaenda wapi, Hatujui ni nani ana mater mind hii mipangilio yote, Hatujui haya yote yanafanywa kwa manufaa ya nani.

Deep state inaonekana wanafaidika na yote yanayoendelea kwaiyo hata wao hawana faida yoyote kwa nchi hii.

Saa ipo, siku ipo, jambo ambalo halikutegemewa litatokea na hili litakuwa ni kwa maslahi ya taifa hili.

View attachment 2413104
Hii ndio ingekuwa cover ya kitabu kipya cha historia Tanganyika![emoji2827] hakika Mungu kaamua ugomvi mkubwa sana
 
Mhubiri 11:5. Kama vile wewe usivyojua njia ya upepo ni ipi, Wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito,

Kadhalika huijui KAZI ya Mungu, afanyaye mambo yote.

Ni hivi, mjamzito kabla ya kujifungua hupata uchungu mzito usoelezeka, bt mwishoni hukumbatia mtoto Kwa TABASAMU.

Wanaoihujumu Nchi hii, hutawaona tena. Umebaki muda mchache na nusu wakati hayo kutimia.

Ameeeeen.
 
Hii ndio ingekuwa cover ya kitabu kipya cha historia Tanganyika![emoji2827] hakika Mungu kaamua ugomvi mkubwa sana
Sijui kwanini huwa mnalitumia jina la Mungu ili kuridhisha matamanio ya nafsi zenu, mnafanya Mungu aonekane ana upendeleo jambo ambalo siliafiki, ni kama mnafurahia fulani kufa huku ikijulikana hiyo ni safari yetu sote, yeye katangulia wengine tutafuata...

Kwa kulitumia jina la Mungu kuridhisha matamanio ya nafsi zenu, sasa mnawafanya walamba asali nao wajione wako salama sana bila nyie kujua, maana kwa hiyo kauli wapinzani na walamba asali ni kama wote mmeungana, ila tofauti itakuja pale mkianza kulia kwa maumivu ya tozo, hapo ndipo mtakumbuka aliyeondoka alishaondoka.
 
Sijui kwanini huwa mnalitumia jina la Mungu ili kuridhisha matamanio ya nafsi zenu, mnafanya Mungu aonekane ana upendeleo jambo ambalo siliafiki, mnafurahia fulani kufa huku ikijulikana hiyo ni safari yetu sote, yeye katangulia wengine tutafuata.

Kwa kulitumia jina la Mungu kuridhisha matamanio ya nafsi zenu, sasa mnawafanya walamba asali nao wajione wako salama sana bila nyie kujua, maana kwa hiyo kauli wapinzani na walamba asali ni kama wote mmeungana, ila tofauti itakuja pale mkianza kulia kwa maumivu ya tozo, hapo ndipo mtakumbuka aliyeondoka alishaondoka.
Ufipa st wanaficha Wagonjwa
 
Sijui kwanini huwa mnalitumia jina la Mungu ili kuridhisha matamanio ya nafsi zenu, mnafanya Mungu aonekane ana upendeleo jambo ambalo siliafiki, mnafurahia fulani kufa huku ikijulikana hiyo ni safari yetu sote, yeye katangulia wengine tutafuata.

Kwa kulitumia jina la Mungu kuridhisha matamanio ya nafsi zenu, sasa mnawafanya walamba asali nao wajione wako salama sana bila nyie kujua, maana kwa hiyo kauli wapinzani na walamba asali ni kama wote mmeungana, ila tofauti itakuja pale mkianza kulia kwa maumivu ya tozo, hapo ndipo mtakumbuka aliyeondoka alishaondoka.
denooJ huu ni mtazamo wangu binafsi kama umekukwaza pole sama maana sote hatuwezi kufanana mawazo na mitazamo.. Kikubwa ni kuvumiliana
Na kwenye hii reply yangu naona umeichukulia kwa hisia tofauti sana na kile nilichoandika na sioni mfanano kabisa na kile ulichonijibu.. Anyway naheshimu mtazamo wako
 
Back
Top Bottom