Gari inayotumia petrol kutoa moshi tatizo ni nini?

Tupe mrejesho man, namie nina tatizo kama hilo
 
Iliachaga mkuu! Lakini pia nilishaiuza kitambo
Ok..
Lakini siku nyingine ukiona moshi wa blue jua gari yako inaunguza engine oil kweny jiko..


Ukiona moshi mweupe jua gari lako linaingiza coolant kwenye jiko...

Yote haya ni matatizo ambayo ni serious...yanahitaji kuchukua hatua za haraka
 
Ok..
Lakini siku nyingine ukiona moshi wa blue jua gari yako inaunguza engine oil kweny jiko..


Ukiona moshi mweupe jua gari lako linaingiza coolant kwenye jiko...

Yote haya ni matatizo ambayo ni serious...yanahitaji kuchukua hatua za haraka
Haukua moshi mwingi ulikuwa kidogo sana na ilikuwa ni asubuhi tu ndiyo inakuwa hivyo lakini mchana ilikuwa poa, niliipelekaga hadi kwa fundi wangu akaniambia hilo sio tatizo.

Akhsante sana kwa kunifahamisha hilo anyway!
 
Ok..
Lakini siku nyingine ukiona moshi wa blue jua gari yako inaunguza engine oil kweny jiko..


Ukiona moshi mweupe jua gari lako linaingiza coolant kwenye jiko...

Yote haya ni matatizo ambayo ni serious...yanahitaji kuchukua hatua za haraka
Hivi gari inaweza ingiza coolant kwenye jiko lakini coolant ipo level ile ile au? Mimi yangu inatoa moshi mweupe na saa zingine maji yanadondoka
 
Hivi gari inaweza ingiza coolant kwenye jiko lakini coolant ipo level ile ile au? Mimi yangu inatoa moshi mweupe na saa zingine maji yanadondoka
Kama inaingiza coolant au maji kwenye jiko hapo lazima maji au coolant itakuwa inapungua sana mara kwa mara na mara nyingi moshi unakuwa mweupe kama mvuke au ukungu muda wote ...
 
Ok..
Lakini siku nyingine ukiona moshi wa blue jua gari yako inaunguza engine oil kweny jiko..


Ukiona moshi mweupe jua gari lako linaingiza coolant kwenye jiko...

Yote haya ni matatizo ambayo ni serious...yanahitaji kuchukua hatua za haraka
Safi.

Mi nilishafeli gari yangu imekufa engine, kwa mujibu wa wataalamu wanasema imeua gasket seal, piston ring na pengin cylinder head...

Engine ni 2NZ ist, inatulia baada ya muda inatoa moshi mweupe mwiiiiingi saaana. Hapa nimeshauriwa kutafuta pesa kununua mswaki mpya tu.

Shida yangu ni!

Je kwa kipindi hiki cha kusubiria nipate pesa ya kununua engine/mswaki mwingine, je naweza kuendelea kuitumia hii gari bila kuongeza tatizo lolote??

Nifanye nini ili kuzuia huu moshi kutoka, napata shida saana barabarani napigiwa kelele, sometime watu wanakimbia wanadhan gari inataka kuwaka moto tafran yaaani.

Tunazuia vipi huu moshi na gari naitaka saana kuitumia hiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…