Kama una 2m nikugee crv ukafunge engineHapa nakupinga Extro. Hizi gari ni moja ya reliable cars ambazo nimeshuhudia wamiliki wakiwa nazo kwa miaka mingi.
Madalali huwezi kuwatumia kama source ya ubora wa gari sababu wenyewe wanafanya biashara na TZ biashara ni TOYOTA hizi hapa
1. IST
2. PREMIO SEC GENERATION
3.RAV 4 MASSAWE & KILITIME
4.HARRIER TAKO LA NYANI etc
Sasa pamoja na kwamba TOYOTA ni reliable sana kwa mazingira yetu ila haimaanishi kuwa Honda Crv ni kimeo sana, otherwise wamiliki wasingekuwa nazo kwa miaka mingi.
True5. Vanguard
Second generation? Weka picha ionekane boss.Kama una 2m nikugee crv ukafunge engine
Honda crv ni tatizo ndo maana mengi unayaona yamepaki garageHapa nakupinga Extro. Hizi gari ni moja ya reliable cars ambazo nimeshuhudia wamiliki wakiwa nazo kwa miaka mingi.
Madalali huwezi kuwatumia kama source ya ubora wa gari sababu wenyewe wanafanya biashara na TZ biashara ni TOYOTA hizi hapa
1. IST
2. PREMIO SEC GENERATION
3.RAV 4 MASSAWE & KILITIME
4.HARRIER TAKO LA NYANI etc
Sasa pamoja na kwamba TOYOTA ni reliable sana kwa mazingira yetu ila haimaanishi kuwa Honda Crv ni kimeo sana, otherwise wamiliki wasingekuwa nazo kwa miaka mingi.
BossHonda crv ni tatizo ndo maana mengi unayaona yamepaki garage
Nimewahi kuwa na Honda CRVya 1996 ndo gari nilionzia maisha, Zina shida sana ya cv joints na gearbox hasa ukizingatia vinatumia gearbox ya cvt, back them ilinitesa na ukizingatia nilikuwa nasgiza vipuro Kwa urajisi Uganda ila Cha moto nikakiona nilipata unafuu nilipokuja badilishs engine na gearbox nikaeeka ya Noah then nikakauza Kwa walima mpunga. Labda Kwa generation ya sasa, nikahamia Kwa cresta gx100 1g kavu 1998 hapo ndo nilifaidi maisha maana gari ilikuwa ni service tupaka Leo halijaeahi hsribikika na Sina mpango wa kuliuza wanangu wananupa ushauro niambie Kwa crown niwe wa kisasa nimekataa nimeongeza tu Carina ya home mi na jini langu, sema Kwa kibongobongo kama unahela ya wastana Honda and wadogo zake achana nao utaliaBoss
Garage hata rav 4 na suzuki masawe zipo boss. Shida ya Honda na gari zinazofanana na hizo ni pale wamiliki wanapokosa uwezo wa kuagiza spea nje baada ya kuzinunua hizi gari kwa bei cheap kwenye soko la ndani sababu hazina soko, Ila hii ni moja ya gari yenye review nzuri kwenye ulimwengu wa magari duniani.
Sio Honda tu. Tanzania achana na magari yote unique iwapo kipato ni cha kawaida. Ukishaambiwa vipuli unavuka mpaka achana nalo.Nimewahi kuwa na Honda CRVya 1996 ndo gari nilionzia maisha, Zina shida sana ya cv joints na gearbox hasa ukizingatia vinatumia gearbox ya cvt, back them ilinitesa na ukizingatia nilikuwa nasgiza vipuro Kwa urajisi Uganda ila Cha moto nikakiona nilipata unafuu nilipokuja badilishs engine na gearbox nikaeeka ya Noah then nikakauza Kwa walima mpunga. Labda Kwa generation ya sasa, nikahamia Kwa cresta gx100 1g kavu 1998 hapo ndo nilifaidi maisha maana gari ilikuwa ni service tupaka Leo halijaeahi hsribikika na Sina mpango wa kuliuza wanangu wananupa ushauro niambie Kwa crown niwe wa kisasa nimekataa nimeongeza tu Carina ya home mi na jini langu, sema Kwa kibongobongo kama unahela ya wastana Honda and wadogo zake achana nao utalia
Nilichojifunza Mimi ni kwamba wengi tunaumia sana kwasababu hata hizi Toyota tunanunua mkononi, brother asilimia 90 ya wanongo wakiuza gari ni kwamba linasumbua na kamwe wabongo tuna kasumba ya kutosema ukweli utasikia hii mbeya inatoboa mapema sana.Sio Honda tu. Tanzania achana na magari yote unique iwapo kipato ni cha kawaida. Ukishaambiwa vipuli unavuka mpaka achana nalo.