Gari ipi itanisaidia kubana matumizi


ur grt thnker. Nasikia ni full AC
 
Nakushauri ununue ka-Starlet kama haka ka kwangu......... huwa naenda nako hapo Moshi from Dar kama kawaida huku nikijimiminia Castle za kopo.....Ukiweka Full tank unasahau kabisaaaaa. Na spea zimejaa bwerere kwa bei ya kutupa.

Angalizo: Usiwe na hasira wadau watakapokuambia hebu weka "babysitter" yako kule pembeni wenye magari tupite........
 

lmfao....
 

Safi sana mkuu una experience nzuri na magari, ninashangaa kwa nini haujaanza kutumia baiskeli na unamshauri mwenzio atumie baiskeli

hali za miundo mbinu za wenzetu ulaya na sisi ni tofauti sana achilia mbali weather. Is easier to drive bycle in Newyork than in DSM...tuwe realistic kidogo.

halafu tofauti ya CC kwenye magari ni considerable haingii akilini gari la cc 650 say suzuki kei kuwa na consumption sawa na gari la cc 3000 say isuzu bighorn! kama inakutokea check mambo mengine kama A/C na other services ambazo zinakula mafuta
 

imetulia hii mddj
 

Mkuu,

Mwakani ninaanza kutumia baiskeli nimeshaagiza bike yangu nitakuwa naiendesha mjini kwenda na kurudi. Tatizo lililopo ni sehemu ya kupakia magari ya usalama kwani Tanzania zaidi ya unavyoifahamu mkuu. Nilitegemea sehemu fulani maeneo ya Drive in ningelikuwa nishaanza but kuna tatizo limetokea nikakosa sehemu ile ya kupark gari.

Kaka/dada miundo mbinu ya maeneo ya magomeni, upanga, oysterbay ni mizuri sana haina tofauti na ulaya. Tatizo labda liko katika usalama wa mtumiaji njia such as wezi nk. Hilo linaweza kuepukika kwa kuwa muangalifu. Ila tukiangalia usafiri wa magari sasa hivi mijini ni hasara na kero. Nikiwa maeneo ya mikocheni, msasani naweza kutumia more than 2 hours kufika ofisini asubuhi. Ukiendesha baiskeli inakuchukua karibia dk 37-45 kufika ofisini na afya inaimarika mkuu. Kuhusu mvua baiskeli za kukunja unaweza kupanda nazo taksi zinakunjika kama begi na kupanda nazo taksi au kwenda nayo ofisini.

Believe me gari yenye CC ndogo au kubwa hazina tofauti utakutakana na msumari wa gharama somewhere.
 
Ndg yangu nakushauli tafuta spacio pia nayo inasaidia kubana matumizi kwani haili kabisa mafuta jalibu uone
 
Kwaio unamshauri anunue bike ili awe anaenda nayo mllandizi sio?
 
Wazo zuri sana hili la kutumia baiskeli, lakinikwa miundombinu hii ya Bongo, sijui kama linawezekana, usalama wako utakuwa hatarini sana
Kaka unajua dar NA ukiiongelea London Kwa hao mawazir utakuta umbal wao wanaotembea Kwa baiskel ni Kama kutoka kivukoni na labda manzese tu n nahisi mbali tusisahau kuwa uingereza ni kisiwa Hivo sio kubwa Kama liinchi let au dar... Na pia Hali ya hewa ni tofaut kuanzia JUA HAD MVUA ZETU SOMETIME NI TOFAUT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…