Nailyne
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 350
- 113
- Thread starter
- #21
kumbe jibu unaalo kuwa gari nyenye CC ndogo ndo haitumii mafuta mengi? anyway! Gari yoyote ya CC kuanzia mia 900-1300 ni bora zaidi. mkuranga si mbali kwa gari yeyote kufika kwani ni mkeka mwanzo mwisho.
Mimi natumia Hyundai i10 kama za Voda zile mafuta ya Elfu kumi unaenda TEGETA mwisho na kurudi Tokea SEGEREA, mkuranga inakanyaga sana tu, waweza nunua hizo pale Hyundai, Nyerere Road, ziko fiti.
senkyu mkuu nafanyia kazi ushauri