Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ufiche?? Hujiamini?Mzee hivi vidogo muda mwingine unakosa confidence kabisa. Kuna ile mnakutana family labda kwenye majanga. Afu unakuta wana family wenzako wamepaki magari. Sasa wewe kujiongeza unaenda park sehemu tofauti. Yani unakaficha kabisa ka bebi woka kako.
Hii gari inapendwa jamaniMazda cx5
Ushajipata mkuu usiwaze20m budget mdau. Hebu nisaidie gari ipi iko na looking ya kipesapesa ila ina law running cost.
Hapa namaanisha fuel consumption, spare parts na vinginevyo.
Toyota crown, bei yake ni sawa na ISTHabari wanajamvi.
Nimeishi sana kwenye ka baby walker kwa muda sasa.
Natarajia mwakani niachane nako nipande hadhi japo kidogo.
Nakuja kwenu wana jamvi, wataalam wa masuala haya.
Nahitaji kujua gari ambayo running cost yake ni sawa na ka baby walker lakini kimwonekano inaonekana ni gari ya hadhi.
Natanguliza shukrani.
God bless you Nigga ,wacha na Mimi niongee kakingereza aisee .We buy things we don't need, with money we don't have, to impress people we don't like
Labda anataka awe anang'oa pisi Kali kiulaini. Pisi Kali huwa wanashobokea Sana wenye ndinga za ukweli.Yaani uonekane unazo wakati hauna, unataka kuwa tapeli?
Zama kwenye premio japo hujasema beb walker yako ni ipi?Mzee hivi vidogo muda mwingine unakosa confidence kabisa. Kuna ile mnakutana family labda kwenye majanga. Afu unakuta wana family wenzako wamepaki magari. Sasa wewe kujiongeza unaenda park sehemu tofauti. Yani unakaficha kabisa ka bebi woka kako.
Aisee!Land Cruiser 300 V6
VW beetle ya 1978Habari wanajamvi.
Nimeishi sana kwenye ka baby walker kwa muda sasa.
Natarajia mwakani niachane nako nipande hadhi japo kidogo.
Nakuja kwenu wana jamvi, wataalam wa masuala haya.
Nahitaji kujua gari ambayo running cost yake ni sawa na ka baby walker lakini kimwonekano inaonekana ni gari ya hadhi.
Natanguliza shukrani.