Streptokinase
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 276
- 436
- Thread starter
-
- #21
kwa mazingira uliosema ukiondoa hiyo noah old model labda utafute suv au double cabin zilizobaki nyingi zitakutesa kama alphard labda uweke 17" rim na mpira mnene
Umemaliza kila kitu.Kuna uzi humu ulikua unaongelea probox nadhani kwa maoni ya wengi na kwa mazingira unayoyaelezea probox ni chaguo sahihi
Kabisa Mkuu, Nina Alphard mbele ina Show Nzuri Balaa, Ila Nakosa Amani Nikitembelea Sehemu nisiyoijuaTafuta gari la juu Mkuu, ila Kama matumizi ni rough road kidogo haina shida ila utaendesha kwa speed ndogo na kwa taadhari kubwa tofauti na ulivyozoea kuendesha Noah.Noah old model ni nzur Zina ground clearance kubwa tofauti na wish na Alphard.
Ina cc ngapi hyo Alphard na Lita ina kwenda kwa km ngapi?Kabisa Mkuu, Nina Alphard mbele ina Show Nzuri Balaa, Ila Nakosa Amani Nikitembelea Sehemu nisiyoijua
cc 2300Ina cc ngapi hyo Alphard na Lita ina kwenda kwa km ngapi?
Cc: Bill LuganoAnayejua ID mpya ya kiduku lilo aiweke hapa ili aje atoe ushauri..
Halafu akaitumie huko rough roads sio?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]itakongoroka mwaka mmoja tuChukua Alphard ina space kubwa ndani very comfort
Mara kumi ubaki na hiyo mkuu...hasa kama unayo sr40 au sr50 mbona upo Salama zaidi kwa mazingira yako.Kwaio bora nikomae na Noah tu?
Study mazingira yako kwanza ndo yata determine aina ya gar unayotakiwa kutumia besides kumilik gar na kulitumia ni vitu viwili tofautiHalafu akaitumie huko rough roads sio?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]itakongoroka mwaka mmoja tu
Ni kweliStudy mazingira yako kwanza ndo yata determine aina ya gar unayotakiwa kutumia besides kumilik gar na kulitumia ni vitu viwili tofauti
Acha kuriri ,hajakwambia natafuta gari ngumu ,nenda kwenye hoja sio kila anayenunua gari analenga ugumu ,wengine tunatafuta coftability kwanza na muonekanoNilishuhudia pro box geita odomitor inasoma km.400,000. point dreva akasema anamuda mrefu sana ameinunua Tena kwa mtu.pro box ni kagumu Sana sema siti 5 tofauti na wish na Alphard.
Bill LuganoAnayejua ID mpya ya kiduku lilo aiweke hapa ili aje atoe ushauri..