Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Brevis na extrailKati ya:-
Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail
Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
[emoji1][emoji1][emoji1] Brevis kama mchawi tu,Brevis na extrail
Brevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)Kati ya:-
Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail
Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
Nashangaa sana hilo! Nimeona Brevis nyingi sana zikiuzwa kwa bei ya 4.5 - 5.0 milion kitu ambacho sio cha kawaida!Brevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)
kama una pesa ya mafuta chukua Gx 110
-verosa siipendi by nature-
achana nazo hzoNashangaa sana hilo! Nimeona Brevis nyingi sana zikiuzwa kwa bei ya 4.5 - 5.0 milion kitu ambacho sio cha kawaida!
Hata Xtrail nazo ni hivyo hivyo[emoji2297]
Brevis haziuzwi bei rahisi sababu ya ubovu,wanaziuza bei rahisi sababu wabongo especially madalali wameshaipa jina baya(Jini Mafuta) sababu ya kua na Cc 2500&Cc 3000.Brevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)
kama una pesa ya mafuta chukua Gx 110
-verosa siipendi by nature-
Kumbe shida kubwa ni consumption ya mafuta sio?Brevis haziuzwi bei rahisi sababu ya ubovu,wanaziuza bei rahisi sababu wabongo especially madalali wameshaipa jina baya(Jini Mafuta) sababu ya kua na Cc 2500&Cc 3000.
Lkn ni gari makini sana na hainaga ubovu huo mnaoaminishwa.
Why hao watu waiponde hiyo tu? Shida ni ipi sasa[emoji848]Brevis mnaiponda Basi tu,
Wengine hata kuyamiliki hawajawahi lakini ndo mabingwa wakusema vibaya.
Mbali na matumizi makubwa ya mafuta , brevis ni gari tamu Sana.
Gx100 hata bure hapana! Labda 110 japo sijajua Ina CC ngapi na kama ni 6 cylinder au 4Kamata gx mia tu hapo japo jipange siku ukitaka kuuza utapata bei ndogo
Why hao watu waiponde hiyo tu? Shida ni ipi sasa[emoji848]
Ni gari poa sana hio na sisi wengine ambao hatujali resell value hayo majini mafuta ndio tunayapenda.Kumbe shida kubwa ni consumption ya mafuta sio?
Gx 110 ziko zenye 2L na 2.5LGx100 hata bure hapana! Labda 110 japo sijajua Ina CC ngapi na kama ni 6 cylinder au 4
Kuna ukweli hapa.Usitishike na maneno yao kuziita shipa..
Kwanza wengi wanaponda magari bila kuweka mechanical issues za gari husika, hao ni bendera fuata upepo na wengi wao hawana magari
Zinaachana Km ngapi kwa litaGx 110 ziko zenye 2L na 2.5L
Ukiendesha kawaida 8km/l rough inakula 5km/lWhy hao watu waiponde hiyo tu? Shida ni ipi sasa[emoji848]
Hili dude nafikiria sana kuichukua,sema shida ndio hapo kwenye resell,ila kiupande mwingine gari tamu sanaNi gari poa sana hio na sisi wengine ambao hatujali resell value hayo majini mafuta ndio tunayapenda.
Kiukweli nimeshakua addicted 6 cylinders kuna ile smoothness flani hivi naipata ambayo kwny 4 cylinders utaona gari inalalamika tu.
Sawa aiseeeUkiendesha kawaida 8km/l rough inakula 5km/l