Gari ipi pasua kichwa kati ya hizi?

Kati ya:-

Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail

Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
Brevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)
kama una pesa ya mafuta chukua Gx 110
-verosa siipendi by nature-
 
Brevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)
kama una pesa ya mafuta chukua Gx 110
-verosa siipendi by nature-
Nashangaa sana hilo! Nimeona Brevis nyingi sana zikiuzwa kwa bei ya 4.5 - 5.0 milion kitu ambacho sio cha kawaida!
Hata Xtrail nazo ni hivyo hivyo[emoji2297]
 
Brevis na Xtrial ondoa kabisa hayo magar n miyeyusho.(ingia mitandaon utakuta brevis namba D safi inauzwa mpaka milion 4, hujiuliz kwa nn)
kama una pesa ya mafuta chukua Gx 110
-verosa siipendi by nature-
Brevis haziuzwi bei rahisi sababu ya ubovu,wanaziuza bei rahisi sababu wabongo especially madalali wameshaipa jina baya(Jini Mafuta) sababu ya kua na Cc 2500&Cc 3000.

Lkn ni gari makini sana na hainaga ubovu huo mnaoaminishwa.
 
Brevis mnaiponda Basi tu,
Wengine hata kuyamiliki hawajawahi lakini ndo mabingwa wakusema vibaya.
Mbali na matumizi makubwa ya mafuta , brevis ni gari tamu Sana.
Why hao watu waiponde hiyo tu? Shida ni ipi sasa[emoji848]
 
Ni gari poa sana hio na sisi wengine ambao hatujali resell value hayo majini mafuta ndio tunayapenda.

Kiukweli nimeshakua addicted 6 cylinders kuna ile smoothness flani hivi naipata ambayo kwny 4 cylinders utaona gari inalalamika tu.
Hili dude nafikiria sana kuichukua,sema shida ndio hapo kwenye resell,ila kiupande mwingine gari tamu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…