Wanavyodai wenye nazo! Mie sijawahi kaa na hio gari. Huwa naendesha na kuziacha tu.
Nissan sifa yake kuu ni hakuna Counterfeit parts. Hivyo ni mwendo wa 100K+ for regular maintanance costs. Vipuri vyake ni Original tu. Hamna kuunga unga hivyo ni aghali.Yes inanunuliwa sana, nilitamani nimpate mtu anaeijua maana huku mtaani vitisho tu.
Aaaaah hiyo ndinga naipenda hadi nawehukwa.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Hiyo tuiache kwanza mkuu!
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Nissan sifa yake kuu ni hakuna Counterfeit parts. Hivyo ni mwendo wa 100K+ for regular maintanance costs. Vipuri vyake ni Original tu. Hamna kuunga unga hivyo ni aghali...
[emoji1][emoji1] Sisi ambao kipato hakizidi M1 hiyo tutaisikia tu kwa wadau! Jitahidi uchukueAaaaah hiyo ndinga naipenda hadi nawehukwa.
Ukweli huu nimeupemda japo unauma..[emoji847][emoji847]Brevis gari ya safari, inakupasa uwe na baby walker moja na mnyama. Ukiwa mjini endesha kigoda tu kama Swift au Vits ili kuepusha lawama.
Vipi kuhusu Nissan Dualis changamoto zake ni zipi?
Ni gari poa sana na ni mbadala mzuri wa rav 4 endapo utaitunza nayo itakutunzaYes inanunuliwa sana, nilitamani nimpate mtu anaeijua maana huku mtaani vitisho tu.
Nissan xtrail zinakuja na engine MR 20 ambazo ni cc 2000..Nissan sifa yake kuu ni hakuna Counterfeit parts. Hivyo ni mwendo wa 100K+ for regular maintanance costs. Vipuri vyake ni Original tu. Hamna kuunga unga hivyo ni aghali.
Kwa mafuta hako kagari kana engine ya 1500cc tu so nadhani hakali mafuta zaidi ya 150k kwa mwezi! Ukiwa na plan ya full tank lakini, kujaza kwa kibaba itaweza zidi.
Kama una kipato imara nunua, gari zinatushindaga tunaounga unga hela. Kama una uhakika maybe 2M au zaidi kila mwezi hamna gari yeyote ya kijapani itakushinda.
The same to xtrail second generation...
Changamoto kubwa ni bei ya vipuri imechangamka kiasi...
Ni gari poa sana na ni mbadala mzuri wa rav 4 endapo utaitunza nayo itakutunza
Zote tu! Dunduliza ukachukue showroom au agiza kabisa Japan!Kati ya:-
Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail
Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
Ila ukiweka si umeweka?
Ukifunga genuime ni mkataba...
Brevis ni comfortable mnoBrevis mnaiponda Basi tu,
Wengine hata kuyamiliki hawajawahi lakini ndo mabingwa wakusema vibaya.
Mbali na matumizi makubwa ya mafuta , brevis ni gari tamu Sana.
Brevis ni unywaji wa mafuta tu nimekaa nalo miaka 3 mpaka naiuza haikuwahi kunisumbua tatizo ipo chini sana kwenye rafu road bampa zina bomokaKati ya:-
Brevis
Verossa
Gx 110
Xtrail
Kwenye Mafuta, Vipuli na matengenezo. Kwasisi tunaohitaji kununua kwa mtu, (mkononi)
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huna familia chukua Brevis au Xtrail ikuchangamshe akili kidogo
kITU PEKEE unachoweza kudanganya raia na wasikubishie[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3]uzuri wa dunia ya sasa data zipo kiganjani...
Huyo mjumbe alita kutushika akili zetu..[emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji16][emoji16]kITU PEKEE unachoweza kudanganya raia na wasikubishie
ni mishe unazofanya chumbani kwako na mke na watoto wako
ukisema jana nilikula wali mchicha Hamna waku google,ila sasa
danganya raia sema Brevis mpya linauzwa m.8 uone google itavyofukuliwa...