Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Habari wakuu!
Kwa kipato hicho tajwa hapo juu, ni gari aina gani itanifaa na nitaweza kuimudu kwa pesa niipatayo cash kwa mwezi?
~Passo siitaki
~Gx100 siitaki.
~porte siitaki
~stalet siitaki
~duet siitaki
NB: MATUMIZI YANAWEZA KUWA KM20< kwa siku
Karibuni kwa mawazo yenu[emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Kwa kipato hicho tajwa hapo juu, ni gari aina gani itanifaa na nitaweza kuimudu kwa pesa niipatayo cash kwa mwezi?
~Passo siitaki
~Gx100 siitaki.
~porte siitaki
~stalet siitaki
~duet siitaki
NB: MATUMIZI YANAWEZA KUWA KM20< kwa siku
Karibuni kwa mawazo yenu[emoji1317][emoji1317][emoji1317]