Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Hahaaaa kila la kheri🤣🤣🤣🤣🤣 waje ila wajipange kwa ubahili kwanza mpka tupate hilo dude ndio atainjoy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa kila la kheri🤣🤣🤣🤣🤣 waje ila wajipange kwa ubahili kwanza mpka tupate hilo dude ndio atainjoy
Mnyama huu apa
🤣 🤣 🤣 niko na tshirt za karume, sitaki makuuTufate Woolworth au GSM? Pogo za dronedrake
Buku 10 unapata 4, moja buku 3🤣 🤣 🤣 niko na tshirt za karume, sitaki makuu
Unyama sana aisee.. $$$Tunazifuata kwa Biden huko mkuu
🤣 🤣 🤣 kumbe wamenipiga, maana kwa 26k nimepata 2, Hot Basic Size: L tena leo leoBuku 10 unapata 4, moja buku 3
Wanakuja maboss wenzako hao
Hauna kitambi kumbe🤣 🤣 🤣 kumbe wamenipiga, maana kwa 26k nimepata 2, Hot Basic Size: L tena leo leo
nikachukua chuma UGT Eicher, nikarudi porini
sina kitambi, situmii mafuta, mwendo wa mchemshoHauna kitambi kumbe
Maana mwenye kitambi hawezi vaa L 😂
Dah Karume utakua umeuziwa na dalali🤣 🤣 🤣 kumbe wamenipiga, maana kwa 26k nimepata 2, Hot Basic Size: L tena leo leo
nikachukua chuma UGT Eicher, nikarudi porini
Crown Royal SaloonJe, gari lako la Toyota ni lipi unalolipenda zaidi?
Weee hata raba za humo siziamini hata Acha wanunuliane tu 🤣🤣🤣🤣😂😂😂 ukute kuna pisi imetoka kumchukulia bwana ake zawadi. Afu ww unaita matambala ya fred 🤣🤣
Raba zake vipi? Nilichukuaga naona bado ziko njemaa
kidogo nipitie kwa machuichui wa mwenge sema pesa ilikataDah Karume utakua umeuziwa na dalali
Sana tu mkuuUnyama sana aisee.. $$$
Haha ni nzuri bana… give a trial.Weee hata raba za humo siziamini hata Acha wanunuliane tu 🤣🤣🤣🤣
Hahahahah Ahsante, karibu ngaramtoniHahaaaa kila la kheri
Ndio wapi huko? 😂Hahahahah Ahsante, karibu ngaramtoni
Nikitaka raba naenda pale kwa bajabir au naangiza bondoni kwa madiba wana wapo wa kushantaHaha ni nzuri bana… give a trial.
Huku walipo wala MirungiNdio wapi huko? 😂
🤣🤣 ya chini hiyo itakuwa.Huku walipo wala Mirungi