Gari kudai gia

Gari kudai gia

Kabla ya yote mara nyingi inatokea kulingana na upangiliaji wa gia. Ukikosea kupanga gia lazima itadai. Kila mwendo unagia yake. Ikiwa wewe uko mwendo wa 50 KPH ni dhahiri kabisa lazima injini idai gia. Kwa kawaida kama unajua unasafari ndefu hiyo speed 50 unatakiwa uwe namba 3 na pindi ukifika 80 uwe umefika namba 4. Pia inagetemea na injini. Kama imeshaanza kuchoka itakuwa inavuma kama inahitaji gia lakini haichanganyi. Ukiwa na upangiliaji mzuri wa gia na gari ambayo iko imara unaweza kwenda hadi 110+ kwa namba 4 halafu ukamalizia dashboard yako kwa namba 5 iliyobaki.

Vilevile kama gari umeizoesha mwendo wa speed -80 kufika 100+ huwa ngumu na matokeo yake ni injini kuvuma
 
Kabla ya yote mara nyingi inatokea kulingana na upangiliaji wa gia. Ukikosea kupanga gia lazima itadai. Kila mwendo unagia yake. Ikiwa wewe uko mwendo wa 50 KPH ni dhahiri kabisa lazima injini idai gia. Kwa kawaida kama unajua unasafari ndefu hiyo speed 50 unatakiwa uwe namba 3 na pindi ukifika 80 uwe umefika namba 4. Pia inagetemea na injini. Kama imeshaanza kuchoka itakuwa inavuma kama inahitaji gia lakini haichanganyi. Ukiwa na upangiliaji mzuri wa gia na gari ambayo iko imara unaweza kwenda hadi 110+ kwa namba 4 halafu ukamalizia dashboard yako kwa namba 5 iliyobaki.

Vilevile kama gari umeizoesha mwendo wa speed -80 kufika 100+ huwa ngumu na matokeo yake ni injini kuvuma
nimekuelewa vizuri sana, Ahasnte sana mkuu
 
Mwambie abadili gear box au kama ni mpenda racing aweke gia za gari tofauti lakini iwe engine ya uhakika
 
Habari zenu wakuu? Jana katika pita pita zangu kuna Rafiki yangu aliniambia hivi ''Gari yangu ina gia tano lakini nashangaa nikiwa katika mwendo na natembelea namba tano huwa inadai gia wakati gia nishamaliza'' nikawa najiuliza hivi hii inawezekana au labda kuna mtu aliiharibu? Msaada wenu tafadhari AHSANTENI
zinadai gia ngapi .? kama vp mambie akazinunulie ..
 
Ina maanisha gari yako inanguvu sana.kiasi ambacho ata muundaji wa hiyo gari ange ongeza gia namba6 7 ingefanya kazi vizuri kwa mwendo lakini kutokana na masuala ya kimahesabu itabaki hivyo kwani kama gari inagia5 basi ni5tu
 
Back
Top Bottom