richardmtavi
Member
- Sep 24, 2014
- 8
- 6
Mimi nimekumbana nalo msaada pleaseHabari wadau nina gari ya suzuki jimny, ni manual transmission,
Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa wataalamu mnaweza kujua tatizo ni nini? Au kama mtu yoyote ameshawahi kukumbana na tatizo hili, msaada tutani.
Wakati tunasubiri msaada wa wataalamu, Pitia hii thread kwanza: https://www.jamiiforums.com/threads/gari-kutetemeka.588746/page-5Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80
[emoji120][emoji120] sawa mdauWakati tunasubiri msaada wa wataalamu, Pitia hii thread kwanza: https://www.jamiiforums.com/threads/gari-kutetemeka.588746/page-5
Habari wadau nina gari ya suzuki jimny, ni manual transmission,
Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa wataalamu mnaweza kujua tatizo ni nini? Au kama mtu yoyote ameshawahi kukumbana na tatizo hili, msaada tutani.
[emoji28][emoji28][emoji28]Ni mwendo wa kupitia nyuzi zote za magari. Mpaka niwe mtabe.
Nimechoka kupigwa na mafundi wa Sinza
Chukua ujuzi humu kijana wangu 😂Ni mwendo wa kupitia nyuzi zote za magari. Mpaka niwe mtabe.
Nimechoka kupigwa na mafundi wa Sinza
140 ukiwa wapi mkuu maana highway kila baada ya 1km kijiji 50kph mwendo wa rasta na tuta!Mi ninapasso naipiga hadi 140 iko very stable
Cheki tairi kama hazijavimba pia angalia bush za wishbone. Zikiisha sana huwa zinakuwa na play flaniHabari wadau nina gari ya suzuki jimny, ni manual transmission,
Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa wataalamu mnaweza kujua tatizo ni nini? Au kama mtu yoyote ameshawahi kukumbana na tatizo hili, msaada tutani.
AiseeKwa mvua hizi litaachaje kutetemeka mkuu.. Jaribu kulitembeza kwenye mikoa yenye joto kisha unote kama tatizo litajirudia.