richardmtavi
Member
- Sep 24, 2014
- 8
- 6
Habari wadau nina gari ya suzuki jimny, ni manual transmission,
Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa wataalamu mnaweza kujua tatizo ni nini? Au kama mtu yoyote ameshawahi kukumbana na tatizo hili, msaada tutani.
Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa wataalamu mnaweza kujua tatizo ni nini? Au kama mtu yoyote ameshawahi kukumbana na tatizo hili, msaada tutani.