Gari kutikisika Injini ikifikia speed 100Khr na kuendelea!

Gari kutikisika Injini ikifikia speed 100Khr na kuendelea!

Ndikwega

R I P
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,979
Reaction score
5,527
Habari ya Majukumu Wakuu!

Nina gari yangu Ndogo IST, Nikijaribu Kukanyagia walau nifike 120Km/Hr, Speed ikifika tu 100 na Kuendelea napata Mtikisiko Mkubwa saana wa Injini.

Naomba Kueleweshwa tatizo lake na Tiba yake!

Naombeni Karibuni Kunisaidia kutatua hili tatizo pamoja na Chanzo Chake.

Ahsanteni saana.
 
Magurudumu ya mbele hayana uwiano kapime wheel balance huduma inapatikana ktk vituo vikubwa vya kuuza petroli
Imepimwa
Mkuu ipo sawa, labda kutakuwa na tatizo lingine. Nashukuru pia Mkuu, nitarudi tena Kupima.
Mtikisiko unakuwa Mkubwa saana.
 
Hapa nnakupa majibu ya kweli
Kwanza fatilia nati za coils kuna zilizolegea ukivutia mafuta inaachia ndomana engine inatetema
Pili fatilia engine mounting
Fatilia Oil pump huenda haileti oil ya kutosha kanunue dawa ya kusafishia engine
Hao wengine wanakutania
 
Habari ya Majukumu Wakuu!

Nina gari yangu Ndogo IST, Nikijaribu Kukanyagia walau nifike 120Km/Hr, Speed ikifika tu 100 na Kuendelea napata Mtikisiko Mkubwa saana wa Injini.

Naomba Kueleweshwa tatizo lake na Tiba yake!

Naombeni Karibuni Kunisaidia kutatua hili tatizo pamoja na Chanzo Chake.

Ahsanteni saana.
Mkuu hili tatzo ulilimaliza vip..tatzo lilikuwa ni nini?
 
Hapa nnakupa majibu ya kweli
Kwanza fatilia nati za coils kuna zilizolegea ukivutia mafuta inaachia ndomana engine inatetema
Pili fatilia engine mounting
Fatilia Oil pump huenda haileti oil ya kutosha kanunue dawa ya kusafishia engine
Hao wengine wanakutania
Uko sahihi kabisa, IST yangu ilianza huu ugonjwa nikauza nikanunua pickpick
 
Japanese car ndogo nyingi zina hili tatizo, huwezi kulikuta katika Europeans car
 
Kakague engine mounting zote. Then badirisha kituo cha kupimia wheel balance na aragnment
 
IST mwenzenu naiwekaga kwenye kundi la pikipiki samahani lakini
 
Back
Top Bottom