Gari kutikisika Injini ikifikia speed 100Khr na kuendelea!

Gari kutikisika Injini ikifikia speed 100Khr na kuendelea!

Bahati mbaya sasa hata pikipiki huna..
Sijawa kuona mtu mwenye gari akifanya masimango gari za wanaume wenzake
Kuna watu zimewawahisha hospitali kuokoa maisha yao toka vichochoroni huko, wamepona wanazisimanga
 
Gari imepona na nimeonyeshwa tatizo. Ila kwajinsi mlivyonisimanga na IST yangu, siwapi mrejesho. Nikiwapa mrejesho mniite Mwigulu....nimekaa paleee!!!!!
 
Gari imepona na nimeonyeshwa tatizo. Ila kwajinsi mlivyonisimanga na IST yangu, siwapi mrejesho. Nikiwapa mrejesho mniite Mwigulu....nimekaa paleee!!!!!
Mkuu wengine tuna izo baby walker nipe mrejesho PM
 
Back
Top Bottom