Gari kuwa inamiss

Gari kuwa inamiss

Osaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
1,937
Reaction score
781
Naombeni msaada gari yangu ikikaa muda kama wa masaa matatu nikiiwasha inawaka vizuri tu ila nikikanyaga moto inakuwa kama inamiss na inataka kuzima nikikanyaga sana yani mara nyinginyingi inachanganya na tatizo la kumiss linaondoka, naombeni kujua hapo shida ni nini maana nikilizima nikakaa tena baada ya masaa matatu tatizo linajirudia
 
Back
Top Bottom