ndo raha ya kuhongwa , angenunua mwenyew wala asingechefuka, ampe martin kadinda
Mtoto mzuri kama pesa...
Alishazoea akiachana ananyang'anywa....
sasa hapo kapata cha kujishaua nacho View attachment 212477
kama linakuchefua si ulirudishe kama una ubavu, kujishaua tu nfyuu
Ile siku alivyopewa alijishaua hadi kulilalia...angekua halipendi asingefanya vile...
Anahitaji kuomba apate mwanaume tajiri amuoe Kama mwenzie klynn alivyobahatika but wema has no class what kind of a respectable man would marry her with all those tattoos and skin bleaching and too much mashauzii she needs to learn to be humble and keep it on DL
Hana kadi huyo huyo kauziwa mbuzi kwenye gunia
Hapo atakama unaroho y kigaidi huwezi oa huyu ni mwanamke w burudani tu leo kigodoro kesho kwenye kibao kata cha martin kadinda
Wacha wee!Ya ukweli haya lakini?
Inawezekana kabisa istoshe naweza kukupa kadi feki ikafanana n original ukija stuka imekula kwako.angekua halitaki c angeshauza mda
Hilo nalo neno.....🙄🙄
Anahitaji kuomba apate mwanaume tajiri amuoe Kama mwenzie klynn alivyobahatika but wema has no class what kind of a respectable man would marry her with all those tattoos and skin bleaching and too much mashauzii she needs to learn to be humble and keep it on DL
Ngoja nimpe ofa ya gunia la ndimu apunguze kichefuchefu
labda mama wawili k-lyn nae kajitahidi kumaintain kimwili chake....Ni mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na pesa anayo! We umeona wapi hapa bongo mwanamke mwenye watoto 3 yupo vizuri hivo?
Kiukweli nikiwaza zile picha za Zarinah na ndomo hadi roho inaniuma japo sio mimi,sasa yeye sijui ana hali gani!
acha tu arooooo mi lile smile lake mtoto mzuri jaman ngozi nzuriiiii haina michirizi wala madoaHahaaaa,mimi ule mguu tu aisee
mmh huo kama wa mbuta nanga sema wenyewe umepigwa vyarolighKama wa Wema!
Huyo huwa hajielewi istoshe cjui kaenda ghana kufanya nini.alizindua kimovie gani cjui n omotola hata copy kumi hakuuza
acha tu arooooo mi lile smile lake mtoto mzuri jaman ngozi nzuriiiii haina michirizi wala madoa
Ni movie ya super star...nadhani haijatoka hadi leo.
Tungoje hii anayofanya na van vicker....yule tatizo mbwembwe nyingi sana