abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]Lakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Gari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?Lakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jamaa ni waongo kinoma ....Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?Diamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
Ok, ni cheap, kwa hiyo..!?Diamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
Hizo bei alizoweka mtoa mada ni za gari mpya au used!?Jamaa hata akinunua kitu cha Sh Millioni moja, lazima aongeze sifuri mbili. Halafu anajifanya hamnazo na hawajui wa Tanzania kwa kushushua waongo.
Mkuu ngoja nikupe mfano mzuri ueleweDiamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
Mpaka kufika jioni utakuwa mahututi hospitalini kwa bp ya roho mbayaDiamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
Mtoa uzi anajifanya anajua halafu kumbe hajui kitu! Unajua bishania kitu atleast uko unakijua sio unabisha bisha tu ilimradiKaka mkubwa hizi slang ulizotembea nazo nzito sana kwa mtoa uzi
Mwanaume Kufuatilia Hela na Matumizi ya Mwanaume Mwenzio Ni Ushoga. Pole Sana.Diamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...