Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


Unamechanganya madesa, wapi Diamond kaonyesha Rolls Royce Ghost.....😀😀😀😀😀😀😀
 
Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,

Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Diamond alikuwa na dream tokea 2016 na aliongea kwenye kipindi cha Millard Ayo na hakufanya kumkomoa mtu bali ni sehemu ya ndoto zake.

Halafu huwezi mzuia mtu kutumia hela yake ili atimize ndoto zake na HUWEZI MZUIA MTU ALIYEAMUA KUKUCHUKIA .
 
Why wasanii wa kiafrika/Black amerika wengi wanapenda kujionyesha/kujifaharisha! Mtu ananunua gari la bei gali and others wanaiga mfano imekuwa ushindani flani ana bonge la gari, hamuoni kuwa ni ushamba tu! Ana nunua gari la milioni 200 wakati iyo hela anaweza akawekeza mradi mkubwa. White people hawako ivyo na ushamba ushamba.
 
Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,

Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Hahhahahaa, aya ebu tupe uhalisia wake basi mkuu, pengine unaweza kukuta iyo RR ni milioni 13 namimi nikanunue ya kwangu

Miaka zaidi ya mitano nyuma uyu domo aliwahi kusema gari ya ndoto yake ni RR na anatamani siku moja aimiliki...uwingi wa magari haukuzuii kutimiza ndoto zako za muda mrefu pale utakapokua na uwezo wa kuzitimiza...jamaa amefanikiwa kutimiza moja ya ndoto zake...anastahili pongezi kwakweli

Na kama unaishi bila ya kuwa na ndoto zako binafsi kamwe hauwezi ukanielewa nnachokisema.
 
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


kwanza yake ni rolls Royce Cullinan 2021 na siyo ghost.
 
Jamaa yuko determined sana. Kila anachotaka anakifanikisha
Kiufupi anaishi ndoto zake.

Bado ndege atainunua hata Cessna Caravan 208 hii mpya ni kama 3bil used hata dollar 300K
 
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


Mkuu mbona mishipa shingoni ya nini?
 
Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,

Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Kwa akili hizi zenu bora Mwigulu na Samia waitishe tena bunge wapandishe kodi iwe mara 100 kabisa
 
Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,

Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Wewe, mwijaku, kimambi, hbaba na genge lenu mlibwa muende kwenye social media zake? Au aliwafata mziongelee?
 
Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,

Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Nimewahi kumsikiliza yule kijana miaka ya nyuma alieleza kuwa moja ya ndoto zake ni kumiliki RR.

Kwann unafikiri kwamba anawajibu wasiompenda na si kutimiza ndoto zake?
 
Diamond alikuwa na dream tokea 2016 na aliongea kwenye kipindi cha Millard Ayo na hakufanya kumkomoa mtu bali ni sehemu ya ndoto zake.

Halafu huwezi mzuia mtu kutumia hela yake ili atimize ndoto zake na HUWEZI MZUIA MTU ALIYEAMUA KUKUCHUKIA .
Nafikiri kuna namna hawa vijana wanatengeneza kipato kupitia kumzungumzia huyu diamomd.
 
Nunua na
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.

Gari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?

Jamaa hata akinunua kitu cha Sh Millioni moja, lazima aongeze sifuri mbili. Halafu anajifanya hamnazo na hawajui wa Tanzania kwa kushushua waongo.
Hata akisema kanunua bilioni kumi ina madhara gani kwako
 
Hii bei yake sio billion 1

Screenshot_20210715-150108_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom