Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
HahahaNa wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaNa wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
Unamechanganya madesa, wapi Diamond kaonyesha Rolls Royce Ghost.....😀😀😀😀😀😀😀Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Diamond alikuwa na dream tokea 2016 na aliongea kwenye kipindi cha Millard Ayo na hakufanya kumkomoa mtu bali ni sehemu ya ndoto zake.Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,
Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Hahhahahaa, aya ebu tupe uhalisia wake basi mkuu, pengine unaweza kukuta iyo RR ni milioni 13 namimi nikanunue ya kwanguPesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,
Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
kwanza yake ni rolls Royce Cullinan 2021 na siyo ghost.Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Mkuu mbona mishipa shingoni ya nini?Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Kwa akili hizi zenu bora Mwigulu na Samia waitishe tena bunge wapandishe kodi iwe mara 100 kabisaPesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,
Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
🤣Gari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?
Wewe, mwijaku, kimambi, hbaba na genge lenu mlibwa muende kwenye social media zake? Au aliwafata mziongelee?Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,
Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Nimewahi kumsikiliza yule kijana miaka ya nyuma alieleza kuwa moja ya ndoto zake ni kumiliki RR.Pesa anayo lkn jamaa muongo muongo sana,achane na kufanya vitu ili kuziba haters midomo coz haters wenyewe ukiwafanyia hivi wao wanakujia vile,
Haters hawashindwagi kitu wao silaha yao kubwa ni maneno na kuongea hakuna gharama ila wewe kutaka kuwajibu kwa vitendo ili kuwanyamazisha wasioweza kunyamaza unatumia gharama kubwa....mwisho wa siku unanunua tu ma-migari unayajaza uani with no plan...by the way RR ni gari nzuri,ya gharama lkn this one imepambwa kupitiliza na uhalisia wake.
Nafikiri kuna namna hawa vijana wanatengeneza kipato kupitia kumzungumzia huyu diamomd.Diamond alikuwa na dream tokea 2016 na aliongea kwenye kipindi cha Millard Ayo na hakufanya kumkomoa mtu bali ni sehemu ya ndoto zake.
Halafu huwezi mzuia mtu kutumia hela yake ili atimize ndoto zake na HUWEZI MZUIA MTU ALIYEAMUA KUKUCHUKIA .
mhhh zero kilometer kwa tairi ile kipara?Lakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Gari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?
Hata akisema kanunua bilioni kumi ina madhara gani kwakoJamaa hata akinunua kitu cha Sh Millioni moja, lazima aongeze sifuri mbili. Halafu anajifanya hamnazo na hawajui wa Tanzania kwa kushushua waongo.
Mmmh best best mbona umekula kifungo?Spana zimemuingia hadi kamuita Mods [emoji28][emoji28][emoji28] aje ku Tag ubavu! Kenge sana huyu