Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Gari la Diamond Platnumz ni bei rahisi unaweza kuagiza mpaka Dar kwa Tsh. milioni 300 na ushuru ndani

Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


Linaonekana tu maana ni chafu
IMG_20210715_045418.jpg
 
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?

Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.


kama bei rahisi nioneshe watu waliyonayo bongo///hahahaha stop haitin
 
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?

Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Tecno ilopasuka jamank
 
Na wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
Yaani nasoma nyuzi guku nacheka kwa hili ji u hahahahhhh
 
Mkuu ngoja nikupe mfano mzuri uelewe

Toyota Rav 4 ziko za aina tofauti
1. Old Model
2. Miss Tanzania
3. Kill Time
4. Vanguard

Hzo zote hapo ni Rav 4 by nature ila bei zake ziko tofauti kabisa kutokana na Millage na mwaka uliiotengenezwa

Sasa hapo umeweka RR Ghost badala ya Culinan ambayo ni latest ya 2021 ulishindwa hata ku reason kawaida tu

Fine tyre zake mnasema gar ni used embu take trouble kutafuta bei ya used Culinan ni kiasi gani then urud tena

Tunaweza kwel kumchukia tu Diamond kwa sababu ya umasikini wetu ila atlist lets respect his husttle Man.

Peace n Out!!
Yaani mimi namuonea wivu Diamond hadi huwa namuwazia tu kuwa huyu dogo yupo ndani ya genge la Illuminti...yaani dogo huyu domo kunawatu walio juu yake wanampa na kumuwezesha maujuzi na utaalamu wa muziki wenye enslave humanity.
Yaani tunasema mtumikie Lucifer ku enslave your own humanity naye anaku award by Power, Fame, and Money
 
Pesa anayo lakini ni mshamba anafanya mambo kwa mihemko kuwaridhisha raia

Vingine hata havikuwa kwenye plan yake lakini presha kutoka kwa watu

na uwongo ndiyo unawapa watu maneno ya kusema

Okm inakuwaga kwenye maganda kuna baadhi ya parties zinakuwa zimefunikwa kwa mbwembwe za hao jamaa lazima wangetuonyesha wakimenya maganda

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mimi namuonea wivu Diamond hadi huwa namuwazia tu kuwa huyu dogo yupo ndani ya genge la Illuminti...yaani dogo huyu domo kunawatu walio juu yake wanampa na kumuwezesha maujuzi na utaalamu wa muziki wenye enslave humanity.
Yaani tunasema mtumikie Lucifer ku enslave your own humanity naye anaku award by Power, Fame, and Money
Loser comment. Shida ya umasikini ndio hii ukishindwa kutafuta pesa usitafute sababu za kujifariji kwanini wengine wamefanikiwa. Hakuna hela za uchawi wewe komaa, acha chuki na ujifunze kwa waliotoboa na wewe utafanikiwa
 
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?

Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Na bado zinaweza zote kuwa Alphard za mwaka mmoja na bei zikatofuatina kutokana na edition
 
Mkuu ngoja nikupe mfano mzuri uelewe

Toyota Rav 4 ziko za aina tofauti
1. Old Model
2. Miss Tanzania
3. Kill Time
4. Vanguard

Hzo zote hapo ni Rav 4 by nature ila bei zake ziko tofauti kabisa kutokana na Millage na mwaka uliiotengenezwa

Sasa hapo umeweka RR Ghost badala ya Culinan ambayo ni latest ya 2021 ulishindwa hata ku reason kawaida tu

Fine tyre zake mnasema gar ni used embu take trouble kutafuta bei ya used Culinan ni kiasi gani then urud tena

Tunaweza kwel kumchukia tu Diamond kwa sababu ya umasikini wetu ila atlist lets respect his husttle Man.

Peace n Out!!
Tyre sio used wame edit, angalia video ya ile gari ndio utajua wamechezea kale ka picha
 
Mkuu na wewe unashikwa kichwa kirahisi hivyo, ile picha wameichezea. Tyre zote kashata mpya kama ungeona video, na sio hako kapicha waliko kachezea
Mkuu nimefollow akaunti zote za wcb ,familia nzima ya diamond,don fumbwe kwahiyo hadi gari inatoka kwenye kontena nimeona.ni gali kali,ila tairi zimenitia shaka kama ni 0 km.
 
Mkuu nimefollow akaunti zote za wcb ,familia nzima ya diamond,don fumbwe kwahiyo hadi gari inatoka kwenye kontena nimeona.ni gali kali,ila tairi zimenitia shaka kama ni 0 km.
Mie nimeangalia vizuri sana, ile picture wamw chezea, ile tyre pale imekanyaga vumbi, wamecheza nayo pale pale, ngoja nipige screenshort niweke uone mkuu
 
Back
Top Bottom