Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Kwahiyo ukaona utuwekee hizo gari used za kuungwa japan ufananishe na ilimradi uhalalishe chuki zakoDiamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
Mbona mnahangaika na mambo yaliyokuzidi umri, ww nunua Brevis au Crown tembelea, vidole havifananiDiamond anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kua kanunua Gar la Bilion how Diamond unakua muongo ivyo
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu huu apa ushaid wa bei ya Gar alilo nunua Diamond na gar yake ni used kwa Bei chee View attachment 1854453View attachment 1854454View attachment 1854455
Spana zimemuingia hadi kamuita Mods 😅😅😅 aje ku Tag ubavu! Kenge sana huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah nimecheka Sana hahahaha
Mbna unaharisha Sana Mzee , petition yenu iliishia wapi, mmerud kwenye magar ya watuJamaa hata akinunua kitu cha Sh Millioni moja, lazima aongeze sifuri mbili. Halafu anajifanya hamnazo na hawajui wa Tanzania kwa kushushua waongo.
Mkuu umepigwa ban??Spana zimemuingia hadi kamuita Mods 😅😅😅 aje ku Tag ubavu! Kenge sana huyu
Diamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee
View attachment 1854455
Gari ya 0 km inakuwaga na tairi chakavu? Umeona tairi za ile gari?
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...
Maskini hawajawahi kumpenda tajiriWew umeiona gari?
Au umeangalia picha ya kigogo
Hiv watanzania lini mtaacha uchawi?
[emoji28][emoji28][emoji28]Na wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
Na wewe kanunue lako usitupigie kelele,watu tuna maumivu na kodi ya miamala wewe unaleta mambo ya gari? Nenda face book kawaambie
0Lakn yake si ya 2021 na n zero km Bei haziwez fanana mkuu hata ist zero km Bei n tofaut na hizi
Sio kwel ya kitambo Sana [emoji1787][emoji1787]
Na wewe utakua mchawi!! kama anadanganya zinakuhusu niniDiamond Platnumz anatumia Radio na yake na TV yake kudanganya watu kuwa kanunua gari la bilioni, how Diamond Platnumz unakuwa muongo hivyo?
Ifike Hatua Diamond aache kudanganya watu, huu hapa ushaidi wa bei ya gari alilonunua Diamond Platnumz na gari yake ni used kwa Bei chee.
Ananikumbusha tulivyokuwa wadogo huko vijijini kwetu, gari zote ndogo tulikuwa tunaita tax. hata ingekuwa ni sport car ya millions bado tungeiona tungeiita tax.Tumpongeze sana mwalimu wako aliyehakikisha tahahira kama wewe angalau unaweza kusoma. Kwa matope haya uliyonayo kichwani huwezi kutofautisha kwamba hiyo ni RR Ghost na Diamond ana RR Culinan?
Wewe ukisikia mtu kanunua Toyota unafyatuka kukagua bei yoyote unayoweza kugoogle na kitekno chako kilichopasuka. Utajuaje ni IST, Alex, Land Cruiser, Alphard...