Gari la IST linapokuwa na mlio kama lori na moshi kunuka kama Petroli mbichi

Gari la IST linapokuwa na mlio kama lori na moshi kunuka kama Petroli mbichi

Hapo kwenye uwezo ndiyo sijaelewa, bila uwezo wa kifedha au ufundi.

Maana kama ni uwezo wa kifedha, sioni alipoandika hivyo, na kama ni uwezo wa kiufundi, sidhani kama wameliki wengi wa magari hata huko, kwenye nchi zingine wamiliki wa magari pia ni mafundi. Sema kuna mambo muhimu dereva wa gari anapaswa kujua.
Uawezo wa kifedha ndugu. Unaweza kujua uwezo wa kifedha wa mtu kwa kuangalia hali matatizo yanayomkabili. Mafundi wazuri kabisa wa magari wapo na tatizo aliloelezea linatatuliwa mara moja kama una uwezo wa kifedha na huna haja ya kuja kulalama au kuuliza huku.
 
Uawezo wa kifedha ndugu. Unaweza kujua uwezo wa kifedha wa mtu kwa kuangalia hali matatizo yanayomkabili. Mafundi wazuri kabisa wa magari wapo na tatizo aliloelezea linatatuliwa mara moja kama una uwezo wa kifedha na huna haja ya kuja kulalama au kuuliza huku.
Usichokijua, kuna watu, siyo wavivu wa kuandika andika kwenye mitandao, anaamini kila shida, ipate jibu kwanza hapa ndipo, aitatue.
 
Hahahahah Platinum sio, mkinunua magari muhakikishe mna watu wazoefu katika cycle yenu 😂😂😂!

Hicho anachoita platinum kinaitwa catalyic converter. Ni chujio maalum la kuchuja moshi baada ya combustion kutokea ili kuondosha zile sumu zitokanazo na compounds zinazozalishwa after combustion cycle completes.

Kuhusu wizi ni kweli hii inaibiwa sana sababu ni aghali sana kuinunua so ni dili kwa mafundi na wizi huu ufanyika kama unaachaga gari gereji bila kulisimamia au kulialaza kabisa gereji.

Madhara:
-Increased gas consumption.

-Increased noise from the muffler
ambazo zinaingia hadi kwenye cabin mda mwengine. Gari inapiga
bunda kama Altezza...Buuuuuuuuh!

- Kusambaza sumu ambayo ilikuwa
ichujwe mwanzoni ila haichujwi tena.
Mods wako busy kama KICHEFUCHEFU ya MSOMALI naona wamekupa Ban!

Waweke faini baadhi ya Ban, hii ingekuwepo ningekulipia.
 
Yaani IST inamsumbua, angekuwa na gari kama Crown, Nissan Xtrail, Audi, BMW, VW si angezimia
Swali alilouliza mleta mada ni la kiufundi, kama wanavyo wenye magari mengine, lakini majibu na maswali yanayotolewa na watu wenye fedha zao mtandaoni tofauti.

Tunajua mna fedha ila msaidie jibu la kiufundi, kesho akiomba fedha kutengenezea, aulizwe mashwari ya kumshangaa, kuihudumia ist.

Kuna kisa, jamaa tuko na ndani ya Daladala, akaomba atelemke kituo fulani, huku akisema naenda kuchukua gari ya Alphad niliiacha asbhi.
Abilia wengine tukabaki tumejijamazia tu, huku tukitafakari tutasema tuanaenda kufanya nini tunaposhuka kwenye daladala hiii.
 
Back
Top Bottom