macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Uawezo wa kifedha ndugu. Unaweza kujua uwezo wa kifedha wa mtu kwa kuangalia hali matatizo yanayomkabili. Mafundi wazuri kabisa wa magari wapo na tatizo aliloelezea linatatuliwa mara moja kama una uwezo wa kifedha na huna haja ya kuja kulalama au kuuliza huku.Hapo kwenye uwezo ndiyo sijaelewa, bila uwezo wa kifedha au ufundi.
Maana kama ni uwezo wa kifedha, sioni alipoandika hivyo, na kama ni uwezo wa kiufundi, sidhani kama wameliki wengi wa magari hata huko, kwenye nchi zingine wamiliki wa magari pia ni mafundi. Sema kuna mambo muhimu dereva wa gari anapaswa kujua.
Usichokijua, kuna watu, siyo wavivu wa kuandika andika kwenye mitandao, anaamini kila shida, ipate jibu kwanza hapa ndipo, aitatue.Uawezo wa kifedha ndugu. Unaweza kujua uwezo wa kifedha wa mtu kwa kuangalia hali matatizo yanayomkabili. Mafundi wazuri kabisa wa magari wapo na tatizo aliloelezea linatatuliwa mara moja kama una uwezo wa kifedha na huna haja ya kuja kulalama au kuuliza huku.
Yaani IST inamsumbua, angekuwa na gari kama Crown, Nissan Xtrail, Audi, BMW, VW si angezimiaMkuu si utafute bodaboda ubadilishane nae? πββοΈπββοΈπββοΈ
Mods wako busy kama KICHEFUCHEFU ya MSOMALI naona wamekupa Ban!Hahahahah Platinum sio, mkinunua magari muhakikishe mna watu wazoefu katika cycle yenu πππ!
Hicho anachoita platinum kinaitwa catalyic converter. Ni chujio maalum la kuchuja moshi baada ya combustion kutokea ili kuondosha zile sumu zitokanazo na compounds zinazozalishwa after combustion cycle completes.
Kuhusu wizi ni kweli hii inaibiwa sana sababu ni aghali sana kuinunua so ni dili kwa mafundi na wizi huu ufanyika kama unaachaga gari gereji bila kulisimamia au kulialaza kabisa gereji.
Madhara:
-Increased gas consumption.
-Increased noise from the muffler
ambazo zinaingia hadi kwenye cabin mda mwengine. Gari inapiga
bunda kama Altezza...Buuuuuuuuh!
- Kusambaza sumu ambayo ilikuwa
ichujwe mwanzoni ila haichujwi tena.
Swali alilouliza mleta mada ni la kiufundi, kama wanavyo wenye magari mengine, lakini majibu na maswali yanayotolewa na watu wenye fedha zao mtandaoni tofauti.Yaani IST inamsumbua, angekuwa na gari kama Crown, Nissan Xtrail, Audi, BMW, VW si angezimia