Natumaini awajawasachi hao watoto wa shule ile sehemu ni mbaya wanaita half manzese
ukiwa unajianda kutokaa kwenye ajali unaweza kuta mtu kakupiga ngumi urudi ulipotoka ili wakusachi hawana maana kabisa kabisa,,kuna watoto wa kiarabu pale pembeni ya kituo wana ukoo mkubwa ukiwaona mchana ni binadamu usiku ni nyoka wala mtu,,,huwa wanasubiri kuomba ajali zitokee na kama hilo halitoshi wana baloon nyeusi wanatumiaga kuiba kwenye parking za magari kova ameshaelezwa,,mkuu wa polisi ameshaelezwa hakuna kinachotokea,,baya zaidi majuzi waliitaka kuiba gari moja pale bucha wakashtukiwa live kwa kuitwa majina ...mmoja akaacha mkoba mmoja uliokutwa na vitambulisho vyao si chini ya 20 kwa watu wawili!!!mambo ya kusikitisha sana
polene wadogo zanguni