[emoji1787][emoji1787]taarifa imekonda auTaarifa ya kichovu sana. Picha hakuna na nyamanyama ni chache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]taarifa imekonda auTaarifa ya kichovu sana. Picha hakuna na nyamanyama ni chache
Duh!!!
Morogoro hizo barabara zao zina tatizo gani? Kuna kitu hakipo sawa kuanzia labda kutokuwa salama kwenye mengi
Soma vizuri uzi huu utaelewa!Maeneo gani hasa huko Morogoro?
Picha??
Morogoro Haina shida yoyote. Shida ni nyie mliopeleka makao makuu jangwani sasa mnahangaika na makafara ya barabarani. Hamkujiuliza kwanini Mwarabu, Mjerumani na Muingereza wote waliamua kuweka kambi Dar!Duh!!!
Morogoro hizo barabara zao zina tatizo gani? Kuna kitu hakipo sawa kuanzia labda kutokuwa salama kwenye mengi
Wahi kachomoe betri.Gari la mafuta linawaka moto mdaa huu maeneo ya karibu na Morogoro, Gari nyingi sana zimekwama kutokana na madereva kuogopa yaliyotokea miezi miwili nyuma.
INAWEZA KUA KWELI LAKINI MBONA KWENYE HAYA MATUKIO NA MADEREVA PIA WANAKUFA?Hao madereva kuna mchezo huwa wanaufanya. Anafika sehemu anauza mafuta yote au karibia na yote then anaendelea na safari. Akifika kwenye mtelemko huwasha moto kwenye kibin, moto ukianza kukolea yeye huruka na kuliacha gari liseleleke na kuwaka. Madereva wengi wasio waaminifu au wale ambao hawajalipwa mshahara muda mrefu ndio hufanya hivi. Hayo magari huwa yanabima kubwa ya ku cover pamoja na mzigo, ivyo wamiliki hawana shida maana ulipwa na kampuni za bima
Watu wanaogopa sheria mpyaTaarifa ya kichovu sana. Picha hakuna na nyamanyama ni chache
Jesus Christ!Subhanallah....
Mkuu! Si ajabu anakiogopa embe ndogomleta mada baada ya kuona gar linaungua alitoka nduki nadhani akasahau kuchkua hata picha[emoji16][emoji16][emoji16]
Ni kweli kuna lori la mafuta limewaka maeneo ya Mikese Jana usiku lkn ukweli zaidi hilo halikuteketea watu waliwai kulizima matairi ndio yaliungua.Gari la mafuta linawaka moto mdaa huu maeneo ya karibu na Morogoro, Gari nyingi sana zimekwama kutokana na madereva kuogopa yaliyotokea miezi miwili nyuma.