Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Si huwa unamsifia kiongozi asiye weza kupambana na mafisadi.Wapi nimesifu ccm tofauti na Samia?
Wewe ni bendera fuata upepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si huwa unamsifia kiongozi asiye weza kupambana na mafisadi.Wapi nimesifu ccm tofauti na Samia?
Nani aliweza kupambana na mafisadiSi huwa unamsifia kiongozi asiye weza kupambana na mafisadi.
Wewe ni bendera fuata upepo?
JiweNani aliweza kupambana na mafisadi
Niko hivyo siku zote sema Huwa hunifuatilii.Kuna muda nawaza tu kama kuna mtu ameingilia mfumo wa mawasiliano yako, au!! Maana kama siamini hivi!! Kuanzia jana na leo umekuwa ukiuliza maswali ya kufikirisha sana.
Ndio manaa tunauliza,mwenye gari Yuko wapi?Unawezaje kumuengua Samia na CCM. Haya maujinga yote yanafanyika chini yake.
Kwa nini? Kuhoji ni ujinga siku hizi?Unejiona unavokuaga mjinga sometimes eeh?
Jiwe yupo wapi hapo?
Ukafungwe kisa nyumba yako amekamatwa jambazi?au ukafungwe kisa mtoto wako kakamatwa na bangi?ukafungwe kisa mbuzi wako amekula mahindi ya watu?ufungwe kisa mbwa wako kamjeruhi mtu?elimu elimu elimuTulijua tu huyo mbunge hatafungwa.Maana huyo waziri anapendwa sana na mama wa kaya.Nimeamini ule usemi wa Rostam azizi kuwa "hizi mahakama za Tanzania haziwezi kukubalika kwenye uwekezaji wa mikataba ya kimataifa "Kwa maamuzi ya kihuni kama haya ambayo ni kichaa pekee anayeweza kukubali hizi mahakama kama ni huru
Si ni wewe huwa tukiihoji serkali ya CCM unatushutumuKwa nini? Kuhoji ni ujinga siku hizi?
Nchi Ya AjabuMbunge yupi huyo?
Jibu ni kwamba amelindwa na chama chakoNdio manaa tunauliza,mwenye gari Yuko wapi?
Una uhakika huyo mbunge siyo biashara yake.kigezo kilichotumika kutokuhusishwa ni kipenzi cha yule ambaye huwa hakosolewi.Kifupi tz hatuna mahakama ispokuwa tuna kusanyiko la wahuni la kuwafunga walalahoiUkafungwe kisa nyumba yako amekamatwa jambazi?au ukafungwe kisa mtoto wako kakamatwa na bangi?ukafungwe kisa mbuzi wako amekula mahindi ya watu?ufungwe kisa mbwa wako kamjeruhi mtu?elimu elimu elimu
Jina la Mbunge ni nani?Jibu ni kwamba amelindwa na chama chako
Una uhakika? Inategemea kama mna hoji au mnatukanaSi ni wewe huwa tukiihoji serkali ya CCM unatushutumu
Gari lake limefikaje Kwa wasafirishaji haramu? Au aliwaazima bila kujua wanachoenda kufanyia?Kama mbunge mmiliki wa gar hKuwepo basi yeye kesi haimuhusu
Ova
Hayo yalifanyika awamu ya nani?Jiwe yupo wapi hapo?
🙄🙄🙄Una uhakika? Inategemea kama mna hoji au mnatukana