ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Kuna hii hali mtu unapaanda gari mwendo kasi una haraka zako unakuta gari ya express unaamini itakusaidia kuwahi unapoenda basi abiria wanasogea kwa dereva kuomba msaada vituo vyo ambavyo havipo kwenye utaratibu wa express.
Tanzania bado sana aiseee
Hivi pale Dubai upande metro uende kwa dereva ukaombe msaada wa kituo
Tanzania bado sana aiseee
Hivi pale Dubai upande metro uende kwa dereva ukaombe msaada wa kituo